Mwitu temboni
Member
- Aug 17, 2016
- 16
- 10
Ishakua released, check tenanaona kweye app store wameandika Google Allo coming soon😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
Ishakua released, check tenanaona kweye app store wameandika Google Allo coming soon😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
WhatsApp imechukua muda gani kaka wakati ni kama miaka mi wili tu jamaa wakawa famous. Mimi nimeijua whatsapp 2012 na ikikuwa inakama mwaka mmoja nyuma.itawachukua muda wa miongo kadhaa, hata whatsapo iliwachukua muda sna kujulikana
kifupi whatsapp ndio mwanzilishi wa hivi vitu, app za zamani kama mig33, nimbuzz, mxit etc zilikuwa zikitumia username na kulikuwa hakuna privacy. ilivyokuja tu whatsapp kila kitu kikabadilika na app nyingi zikafa. whatsapp hakuchukua muda kabisa sababu yeye ndio Innovator hawa copy and paste ndio wanaochukua muda.WhatsApp imechukua muda gani kaka wakati ni kama miaka mi wili tu jamaa wakawa famous. Mimi nimeijua whatsapp 2012 na ikikuwa inakama mwaka mmoja nyuma.
But kabla ya hapo zilikuwepo app zenye kushabihiana na whatsapp hasa kwenye simu za symbian. Nakumbuka ipo moja ilikuwa inatwa cellity ambayo ilikija kununuliwa na microsoft ikapotea jumla.
Pia inakupa option ya kujibu jumbe bila kutype kwa kukuonesha suggestions mbalimbaliView attachment 404647View attachment 404648View attachment 404649View attachment 404650View attachment 404651 karibu allo
yap, mm binafsi nimeanza kutumia watsaap 2010, ila nafahamu kabla ya hapo kulikuwa na social apps nying sana kwenye symbion os, hasa kwenye nokia, but ilichukuwa muda kiasi kama nusu muongo kubit them farWhatsApp imechukua muda gani kaka wakati ni kama miaka mi wili tu jamaa wakawa famous. Mimi nimeijua whatsapp 2012 na ikikuwa inakama mwaka mmoja nyuma.
But kabla ya hapo zilikuwepo app zenye kushabihiana na whatsapp hasa kwenye simu za symbian. Nakumbuka ipo moja ilikuwa inatwa cellity ambayo ilikija kununuliwa na microsoft ikapotea jumla.
Mimi ningesema kuwa BBM ndio mwanzilishi, tena pia ndio ilikuwa the goldstandard hata kwenye maswala ya privacy alicho fanya WhatsApp ni kuchukua concept yao na kuimpliment it Cross-platform ios, android, Symbian, n.k ndio maana aka succed.kifupi whatsapp ndio mwanzilishi wa hivi vitu, app za zamani kama mig33, nimbuzz, mxit etc zilikuwa zikitumia username na kulikuwa hakuna privacy. ilivyokuja tu whatsapp kila kitu kikabadilika na app nyingi zikafa. whatsapp hakuchukua muda kabisa sababu yeye ndio Innovator hawa copy and paste ndio wanaochukua muda.
Bad thing ni kwamba wana copy an paste tofauti na whatsapp yeye alikuja na idea yake.yap, mm binafsi nimeanza kutumia watsaap 2010, ila nafahamu kabla ya hapo kulikuwa na social apps nying sana kwenye symbion os, hasa kwenye nokia, but ilichukuwa muda kiasi kama nusu muongo kubit them far
ila pia nadhani baada kuweka opt ya kutengeneza group, ndio wakamake watsap kuwa famous
1. BBM haikuwa ikitumia namba ya simu wao walikuwa wanatumia pin so kama siijui pin yako hata kama wewe ni mwanangu sitajua unatumia BBM, wakati whatsapp ndugu na jamaa na marafiki wote wanajuanaMimi ningesema kuwa BBM ndio mwanzilishi, tena pia ndio ilikuwa the goldstandard hata kwenye maswala ya privacy alicho fanya WhatsApp ni kuchukua concept yao na kuimpliment it Cross-platform ios, android, Symbian, n.k ndio maana aka succed.
Yahoo katoka wapi tena. Blackberry ni mali ya RIM. Haiusiani na yahoo...Yahoo marketing department yao haipo vizuri kwa kweli, searching engine yao ya yahoo wameishindwa, blackberry imewashinda, bbm pia, yahoomail.... waiuze tu yahoo
Mkuu NASA imeingiaje hapo,au wanataka kutupeleka mars, ingekuwa NSA ningekuelewa kidogo
Mbona tayarIkiwa tayari tujulishane tuonje
Jaribu leo ipo hewanMbona Play store wanasema coming soon wakati Jamaa washa Lauch?
Msaada nielewe hyo vpn inakuaje..Unaweza tumia VPN kama Opera VPN, chagua USA na itakubali.. Hii app ina kwenda kwa stage kama hapa nina tumia VPN na ipo freshView attachment 404860
Imefika leo.. ipakuePlaystore wanakwambia coming soon
Ndio hicho nilichokisema tukiangalia WhatsApp kiundani feature by feature utaona kila kitu walichonacho kilikuopo BBM tokea zamani sijui DP, status, emojis, picture sharing, voice calls, encryption etc.1. BBM haikuwa ikitumia namba ya simu wao walikuwa wanatumia pin so kama siijui pin yako hata kama wewe ni mwanangu sitajua unatumia BBM, wakati whatsapp ndugu na jamaa na marafiki wote wanajuana
2. integration ya contacts na mambo ya favourites. kwenye whatsapp ni wewe na contacts zako wakati BBM ni wewe na watu wako uliowa add.
3. issue za kuombana, kama unakumbuka kipindi cha BBM ilikuwa kila mtu anapost pin online apate marafiki sehemu kama fb nk strangers walikuwa wanaona watu usiowajua wanakuadd, unakuta mtu ana marafiki 100 BBM ila karibia 90 ni watu wasiojuana face to face anachat na baby kumbe ni kizee.
whatsapp ilikuwa tofauti, BBM haikuwa na tofauti na app za username sababu pin ni namba na username ni namba na herufi, tofauti ya BBM na app kama Nimbuzz ni ndogo sana
Kwa kiurahisi kwenye Internet zetu tunazotumia, hii mitandao ya simu mfano vodacom inatupa ip adress mfano 198.136.094. 895 hiyo ip adress sasa inatumika kukutambua wewe mtumiaji unatumia mtandao gani na upo Nchi gani kwenye application tofauti na website tofauti. Kwa information hizi ndio zinafanya upewe matangazo au resources zinazoendana na Nchi yako husika.Msaada nielewe hyo vpn inakuaje..