hii ipoje kwan?Wamekuletea na Duo......video calling yaani ni shwar mbayaaaa
kampuni ya Google Jana ilizindua messaging app mpya inayoitwa. allo itakayokuwa ikitumia namba za simu kama mtandao wa watsapp allo imetofautiana kidogo na whatsapp kwani inakupa vitu vingi katika kureply SMS. je Google wataweza kufua dafu au ndo watakuwa kama telegram... tusubiri
akina nan hao?Nitumieni namba zenu tukachat huko Allo
Hii Duo naikubali, iko vzr sana kuliko hata Skype!Wamekuletea na Duo......video calling yaani ni shwar mbayaaaa
Ni NSA mkuu sio NASA,Wasichoelewa Ni kuwa hawa watsup,Google,fb nyuma ya pazia wote Ni kitu kimoja NASA na mwisho wa siku info zenu zote zitaenda kwa hao wanaozihitaji so hakuna PA kukimbilia
Wamekuletea na Duo......video calling yaani ni shwar mbayaaaa
Yahoo marketing department yao haipo vizuri kwa kweli, searching engine yao ya yahoo wameishindwa, blackberry imewashinda, bbm pia, yahoomail.... waiuze tu yahooTuende mbele turudi nyuma... Kama si kukosa promo... Hakuna kama BBM ktk ukanda huu wa chating... Chunguza
Mkuu NASA imeingiaje hapo,au wanataka kutupeleka mars, ingekuwa NSA ningekuelewa kidogoWasichoelewa Ni kuwa hawa watsup,Google,fb nyuma ya pazia wote Ni kitu kimoja NASA na mwisho wa siku info zenu zote zitaenda kwa hao wanaozihitaji so hakuna PA kukimbilia
Yes mwana 'A' imejitokelezea si wajua masmartphone hayoMkuu NASA imeingiaje hapo,au wanataka kutupeleka mars, ingekuwa NSA ningekuelewa kidogo
Hiyo coming soon mpaka lini sijui? Nimeona hivyo piaPlaystore wanakwambia coming soon