Google waja na mpinzani wa WhatsApp

Google waja na mpinzani wa WhatsApp

Hiyo coming soon mpaka lini sijui? Nimeona hivyo pia
Unaweza tumia VPN kama Opera VPN, chagua USA na itakubali.. Hii app ina kwenda kwa stage kama hapa nina tumia VPN na ipo fresh
1474541940185.png
 
Link ya app kwa anaye hitaji hii hapa

Google Allo 1.0.006_RC18 APK Download by Google Inc. - APKMirror


Kama unahitaji msaada version ipi ya kuinstall niambie tu aina ya simu yako na nitakushauri version ya kupakua..

Kwa kifupi app ni nzuri nimeichezea Jana lakini haina mzuka kivile pia haina end to end encryption kama whatsapp (hadi utumie incognito chat) anyway kwa sasa nimedelete Facebook messenger na whatsapp zinanitosha.. Na feature yao ya Google assistant inasaidia wamarekani kibongo bongo haina maana.
Techno Y6
 
ebwana eeeh bwana swoden amesema watu wasitumie hiyo Allo... nadhan mnamjua edward snowden vizuri..
 

Attachments

  • Screenshot (8).png
    Screenshot (8).png
    61.4 KB · Views: 48
  • Screenshot (7).png
    Screenshot (7).png
    132.9 KB · Views: 38
Its finally here its out today im making the switch to allo just for the assistant tho
 
Tusubiri tuone, ila messaging app kibao tumeziona kama telegram, viber, n.k zote izo hazijafua dafu kwa WhatsApp. still whatsapp ni bora ila wananiboa kitu kimoja tyuu kwani hawaruhusu kutuma vitu vyenye MB kubwa hapo ndo napowachukia
 
itawachukua muda wa miongo kadhaa, hata whatsaap iliwachukua muda sna kujulikana
 
Back
Top Bottom