mdetichia
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 5,292
- 2,172
Unatakiwa ufanyeje mdau manake ni fulu majangasi haurusu tu au nyie ndio wazee wa ok tu iliusome sms yako..
Unatakiwa ufanyeje mdau manake ni fulu majangasi haurusu tu au nyie ndio wazee wa ok tu iliusome sms yako..
Nimekupata mkuu, sasa mbona hawaweki idadi kubwa ya group member maximum 256? na facebook maximum 5000? kwa nini waziweke idadi kubwa? hii ina affect vipi biashara?Kumbuka kuwa content zako zote zinahifadhiwa kwenye server zao, sasa we wakikuruhusu utume mafile makubwa si utajaza server mapema ikitegemea hulipii hata senti
Hivi inakuaje whatsapp inaingiliana na whatsap feki yan gb whatsap?ikiwa mtu mmoja ameibiwa sio tatizo ila wakijua nchi nzima ni tatizo, tunasoma darasani sasa hivi kabla ya ukoloni wazungu walileta wamisionari na ma explorer kuja kutuchunguza kabla ya kuleta ukoloni. miaka 100 ijayo huko tutakuwa tunafundishwa wazungua walileta chat application wakawa wanajua hadi rangi za nguo za ndani tunazovaa kabla ya kututawala. na wajukuu zetu watatucheka vile vile kama sisi tunavyowacheka waliopita
hio whatsapp feki ni ile ile original ambayo wameimodify, hivyo ni app moja imeongezwa tu vitu vidogo vidogoHivi inakuaje whatsapp inaingiliana na whatsap feki yan gb whatsap?
Aka... mm nachat na watu wangu bhana. Sichat snowden. Pia police hata wapelekewe data zangu zote sina shida mm. Wachukue tu wazijaze kwao ziwasumbue wenyewe kwasababu sina hata kaelement ka ugaidi wala uhalifu wa kufanya wanikamate.Edward Snowden kasha waambia hii kitu siyo salama mnajitia vichwa ngumu!

Hahahaha yaaan elimu yetu haibadlk kulingana na hali halisi, kitabu alchotumia babu mjukuu nae anakitumia. Ugunduzi kwetu ni ndoto.Sie wa kujiandaa kuitumia tu ilihali vijana bado wako busy na kumkalili panzi na sehemu zake tatu
Kwa nini isipatikane app store, window au apple store? au kwanini wasiiweke official sasa maana hiyo modified ndio bora.hio whatsapp feki ni ile ile original ambayo wameimodify, hivyo ni app moja imeongezwa tu vitu vidogo vidogo
Telegram kama huna data hutumii tofauti na whatsapp hizo text zikishaingia ni wewe tuu kuzifungua.Bora telegram mara 100000000
nani kasema modified ndio bora? sababu imeongezwa feature haimaanishi ndio bora.Kwa nini isipatikane app store, window au apple store? au kwanini wasiiweke official sasa maana hiyo modified ndio bora.
Kwa nini huipend Fb?Yaani siipendi fesbuuk!! Mpaka kuiandika imeshanishinda
Hainipendezi mkuu wangu!!Kwa nini huipend Fb?
Mkuu tupo pamoja ila naomba unijibu haya maswali.nani kasema modified ndio bora? sababu imeongezwa feature haimaanishi ndio bora.
nitakupa mfano mmoja, kuna kitu kinaitwa man in the middle attack, hii hacker anaelekeza mawasiliano yako kwake halafu yeye ndio anayatuma kwenye server, kwa upande wa whatsapp ina maana message zako anaziona kwanza yeye halafu ndio anazituma kwenye server ya whatsapp ili zitumwe kwa mtu mwengine.
![]()
ni rahisi sana kufanya hii issue kwenye 3rd party app za whatsapp,
kitu chengine hii app ina acess ba database ya chat zako zote inaweza vile vile kuziiba bila kusahau data zako nyengine za gallery na msg za kawaida
Mkuu tupo pamoja ila naomba unijibu haya maswali.
Inawezekanaje mimi kuwasiliana na fake whatsapp halafu inaandika ule ujumbe kuwa somebody is secured?
Pili kama official whatsapp ina limit ya kutuma content iweje baada ya kupitia kwa huyo hacker kama ulivyoelezea pichani hapo ipokelewe kwenye server za official whatsapp? mimi naona kuna uhuni unafanyika hapo sio bure.
sawa mkuuhilo la kuwa secured kwa end to end encryption linawezekana sababu hata whatsapp fake ni original ambayo ipo modified hivyo nategemea iweze ku encrypt kama original
hilo la kuondoa limit ya file sijui kwanini linawezekana sababu whatsapp akiamua kulilimit kwenye upande wa server ni rahisi kubana huo upenyo ila mimi nahisi mambo haya
1. wanatoa extension ya file/wanatuma file vipande vipande au kuna some kind of proxy.
-pengine wakituma wanatoa extension ile ya mp4 au 3gp hivyo whatsapp hawajui kama kinachotumwa ni video
-wanatuma kama vipande vipande halafu upande wa kupokea unaunga, sema njii hii itahitaji wote muwe na whatsapp fake, anaepokea akiwa na original haitakubali
-wanatumia proxy kuidanganya server isione kitu kinachotumwa na kupokelewa
2. limit ya ukubwa wa file imewekwa kwenye application na sio server za whatsapp. hili nahisi linaweza kuwa jibu zuri, jamaa wametoa tu limit ya ukubwa wa file kwenye app ya whatsapp server zenyewe zinapokea tu hazina limit.