Google pixel na kamera kali

Google pixel na kamera kali

Kwangu Mimi pixel ni simu nzuri ila kwenye chaji imenibidi kuwa na Redmi kama simu ya ziada (natumia note 12 pro)

At least Redmi inanipa guarantee ya masaa 14 ikiwa on display Kwa masaa zaidi ya 11...

Kwa pixel 6 pro inanioffer masaa 5-7 tu nikiwa naitumia na kibaya zaidi inatafuna chaji hata display ikiwa off....
 
Kwahiyo hii Pixel 8 Pro nimetengeneza mwenyewe sio View attachment 2804059
Kuna watu mnapenda kubisha sana, wewe vitu unavyosoma na kudhania mm navitumia. Endelea kubisha.View attachment 2804046
Pixel 8 Pro inayojaa ndani ya 30 mins umetengeneza mwenyewe. Hata Google ukiwaambia hivyo watakukataa.

Uzuri umeleta na picha ya chaja, 30W charger ya Pixel 8 Pro haijazi chaji 100% kwa 30 mins kama unavyodai. Hiyo simu yako hujatengeneza mwenyewe, hivyo haina uwezo exceptional kuliko iliopewa na manufacturer.

Haijawahi tokea simu ina chaja ya 30W na Lithium ion battery ya 5000mAh inajaa kwa 30 mins. Hiyo sio Mi 14 yenye 120W au Oppo Find X 6 Pro yenye 100W charger na SuperVOOC technology.

Ukileta ushahidi kwamba Pixel 8 Pro inajaa ndani ya dakika 30 walete mods wanipige ban ya maisha.

Charging speed ya Pixel 8 Pro inaelekeana na ya Redmi Note 10 Pro midrange ya mwaka 2021. Hata chaja ya Note 10 Pro ni 33W, at 30mins inakuwa 59% wakati P8P at 30 mins inakuwa 50%.
 
Kwangu Mimi pixel ni simu nzuri ila kwenye chaji imenibidi kuwa na Redmi kama simu ya ziada (natumia note 12 pro)

At least Redmi inanipa guarantee ya masaa 14 ikiwa on display Kwa masaa zaidi ya 11...

Kwa pixel 6 pro inanioffer masaa 5-7 tu nikiwa naitumia na kibaya zaidi inatafuna chaji hata display ikiwa off....
Sasa unaona hiyo Pixel 6 Pro, usije jichanganya kwenda kwa Pixel 7 Pro hutopata tofauti kubwa. Labda uende kwa 8 kama unaona kuna ulazima ila kwangu mimi sitotumia Pixel tena mpaka battery & charging technology iwe sambamba na flagships nyingine.

Inakula battery sababu optimization ya processor yake ya Tensor ni mbovu, ndio yaleyale nilisema Tensor haiwezi izidi Qualcomm Snapdragon. Na kinachonikera ni charging speed kuwa ndogo.
Pia bado UI yake haijanibamba kivile tofauti na MIUI, OneUI au ColorOS sababu ina kama restrictions. Hiyo Redmi N12P ni midrange ila ina sifa za uhakika yani hakuna kitu unatarajia ifanye na haifanyi.
 
Sasa unaona hiyo Pixel 6 Pro, usije jichanganya kwenda kwa Pixel 7 Pro hutopata tofauti kubwa. Labda uende kwa 8 kama unaona kuna ulazima ila kwangu mimi sitotumia Pixel tena mpaka battery & charging technology iwe sambamba na flagships nyingine.

Inakula battery sababu optimization ya processor yake ya Tensor ni mbovu, ndio yaleyale nilisema Tensor haiwezi izidi Qualcomm Snapdragon. Na kinachonikera ni charging speed kuwa ndogo.
Pia bado UI yake haijanibamba kivile tofauti na MIUI, OneUI au ColorOS sababu ina kama restrictions. Hiyo Redmi N12P ni midrange ila ina sifa za uhakika yani hakuna kitu unatarajia ifanye na haifanyi.
Kiukweli pia kuendelea na pixel naona inaniwia ngumu kidogo.. kwangu Mimi hata privacy ninayoipata kwenye REDMI (bila.kuwa na third part apps) siioni Kwa pixel....
 
Nna pixel 4a 5G nataka niunganishe na SSD kupitia OTG lakini kila muda inataka niformat hy SSD ili iweze kusoma, msaada wenu wakuu
CC Chief-Mkwawa
 
Nna pixel 4a 5G nataka niunganishe na SSD kupitia OTG lakini kila muda inataka niformat hy SSD ili iweze kusoma, msaada wenu wakuu
CC Chief-Mkwawa
Kila os inakua na format zake inazosoma, Fat32 ni universal karibia vifaa vyote vinasoma sema ina weakness ya kuwa na limitation ya kutoingia file la zaidi ya 4GB.

Exfat Android inasoma bila issue.

Format kama Ntfs mpaka uwe na software ya ku mount kikawaida inaweza isisome.

So inategemea hio ssd yako umeformat kwa njia ipi.
 
Kila os inakua na format zake inazosoma, Fat32 ni universal karibia vifaa vyote vinasoma sema ina weakness ya kuwa na limitation ya kutoingia file la zaidi ya 4GB.

Exfat Android inasoma bila issue.

Format kama Ntfs mpaka uwe na software ya ku mount kikawaida inaweza isisome.

So inategemea hio ssd yako umeformat kwa njia ipi.
Hii ni FAT32 mana nilisoma mahali wanasema kwa format hy inakubalika kwa pixel ila Exfat ni kwa android zingine

Hii SSD yangu ni 2T
 
Hii ni FAT32 mana nilisoma mahali wanasema kwa format hy inakubalika kwa pixel ila Exfat ni kwa android zingine

Hii SSD yangu ni 2T
Fat32 inatakiwa isome, umehakiki kweli ni fat32?

Alternative tumia 3rd party apps za kumount
 
Yah nna uhakika ni FAT32. Hapo kwenye kumount ndo ht cjaelewa
1. Jaribu kutumia 3rd party file manager kumount external zako.
Hii file manager nzuri kwa usb flash na OTG devices nyengine.

2. Jaribu kutumia hii app incase labda umesahau format ya external yako


Ni ya kulipia sema wana Trial.
 
pixel hizi bei angalau zina betri ndogo sana, mfano 4a design yake naona mkononi haikai fresh afadhali xls 3 au4 na 6 pro
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom