Google pixel na kamera kali

Google pixel na kamera kali

Unaandika Ukiwa ume copy na kupaste wapi watu tunatoa maon kwasababu ndo simu nazotumia Mimi Nina uhakika hata pixel 3a xl ujawahi Tumia embu ongeeni Vitu mkiwa experience
Hapa umepanick, una hasira, una huzuni. Hakuna hoja umeongea.
Nina pixel 5a na 4xl ziko bomba Kila idara
Ukitafuta hela utabadilisha simu unavyotaka na utajua simu nzuri uache kukariri maisha. Mimi ni mtumiaji wa Pixel lakini kelele mnazoipa hazistahili, nazisifia iPhone na Samsung wakati sipendi kuzitumia. Wewe unaongea kishabiki sababu unayo.

Nina Pixel 6 Pro, inazidi hizo takataka ulizoshika hapo.
Screenshot_20231012-144806~3.png


Marekani anatumia refubished kwani uko USA SI Kuna viwanda vyakufufua simu na vifaa vyote ya kielectronic
Kwamba Pixel zikiwa released muda huohuo zinakuwa units kibao refurbish? Kaa mwezi mmoja tafuta refurb za Pixel 8 utakutana nazo za kutosha online store. Simu kama ni bora as it was advertised kwanini iwe na return nyingi kwa OEM na kwenye store na ishuke bei ndani ya miezi michache ya kuingia international market?
Hata pia maduka makubwa ya Vitu used ambavyo viko well condition Kuna tofauti Kubwa kati used na refurbished (simu zilifanyiwa marekebisho)

Mpaka Vya magari zipo Kuna GMC kibao Tu ambazo modified Kwa Huko USA sio big deal mtu Kutumia Kitu kilichofanyiwa maboresho (refurbished) alafu Unakuja Hapa unalalama oh pixel Mbovu sijui nini

Pixel itabaki kuwa pixel Tu

Bado ujasema wewe mpaka useme
Nimejibu kulingana na hoja zako tatu, huna unachojua unabwabwaja eti nimekopi.

Ukinunua Pixel 7 na hata 8 zikija utajua kwanini Pixel ni simu za kawaida sana.
 
Dah! Ni kweli ila kwenye kupasuka vioo ni hatari. Sijasahau ilichonifanyia Samsung Note 8 kisha NOTE 10+. Ila ni simu nzuri sana.
Hilo ndio suala pekee linalonizuia kununua Samsung, kioo kupasuka, kuweka kontua au kuweka dots. UI yao nzuri, screen panels wanawatengenezea makampuni mengine hata Apple ila sasa wao Samsung zakwao ziko optimized vizuri lakini sio imara. Wakati protection ndio ileile kutoka mbabe pekee duniani kwenye field hiyo, Corning. Hapo kuna Gorilla Glass 5, 6 au Invictus ila sasa za Samsung ndio zinapasuka haraka.

Ni sawa na Sony wanatengeneza camera sensors za flagships karibia zote ila huwezi kutana na simu ya Sony inapiga picha vizuri.
 
🤣🤣🤣🤣

Ilaaaaa humu ndani.. kwamba ameshika nini?
Watu wa Pixel kwenye simu wao wanataja camera tu. Tunatakiwa kuwa na flagship iliyo complete kila kitu kuanzia charging speed, battery life, wireless & reverse charging, user friendly, camera both in video and photo, chip, finishing, protection na kila kitu.

Pixel iishie kwenye camera tu kwingine sio
 
Hilo ndio suala pekee linalonizuia kununua Samsung, kioo kupasuka, kuweka kontua au kuweka dots. UI yao nzuri, screen panels wanawatengenezea makampuni mengine hata Apple ila sasa wao Samsung zakwao ziko optimized vizuri lakini sio imara. Wakati protection ndio ileile kutoka mbabe pekee duniani kwenye field hiyo, Corning. Hapo kuna Gorilla Glass 5, 6 au Invictus ila sasa za Samsung ndio zinapasuka haraka.

Ni sawa na Sony wanatengeneza camera sensors za flagships karibia zote ila huwezi kutana na simu ya Sony inapiga picha vizuri.
Unazijua Sony wewe?
 
Hapa umepanick, una hasira, una huzuni. Hakuna hoja umeongea.

Ukitafuta hela utabadilisha simu unavyotaka na utajua simu nzuri uache kukariri maisha. Mimi ni mtumiaji wa Pixel lakini kelele mnazoipa hazistahili, nazisifia iPhone na Samsung wakati sipendi kuzitumia. Wewe unaongea kishabiki sababu unayo.

Nina Pixel 6 Pro, inazidi hizo takataka ulizoshika hapo. View attachment 2779945


Kwamba Pixel zikiwa released muda huohuo zinakuwa units kibao refurbish? Kaa mwezi mmoja tafuta refurb za Pixel 8 utakutana nazo za kutosha online store. Simu kama ni bora as it was advertised kwanini iwe na return nyingi kwa OEM na kwenye store na ishuke bei ndani ya miezi michache ya kuingia international market?

Nimejibu kulingana na hoja zako tatu, huna unachojua unabwabwaja eti nimekopi.

Ukinunua Pixel 7 na hata 8 zikija utajua kwanini Pixel ni simu za kawaida sana.
Bado ujasema mpaka useme
 
Unazijua Sony wewe?
Mfano Experia 5 Mark Five inakaa rank gani kwenye bechmarks zote? Mimi 10 bora sioni namna gani inaingia overall. Ukitaka simu simu iliyo sleek na screen size bora kwa streaming hiyo ndio kimbilio lako
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom