Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
Eeeh mola ulaze mahala pema roho za wote waliopotesa maisha kwa sababu ya mabomu hayo
Hilo limelipuka ama bado! Lisije lipua ka laptop kangu hapa
Hilo limelipuka ama bado! Lisije lipua ka laptop kangu hapa
yeah... just another promo time, be there show your face, share ilani ya ccmAs usual Mkulu full smile.....Mwamunyange as well...very happy indeed
Hilo tayari kuna jirani yetu limedondoka uwanjani hivi nimeamua kuhamia Kibaha kwa Mathiasi
Hivi Tanzania tunayo serikali kweli???As usual Mkulu full smile.....Mwamunyange as well...very happy indeed
Maandamano nchi nzima bila kikomoIlianza Mbagala, now Gongo la Mboto, next ni Lugalo, Kunduchi au....??
Lazimz tuwajibishe watu hapa hili haliwezi kupita tuu bure.
Wanajamii tutoe modality ya jinsi ya kuwawajibisha watendaji na wasimamiaji ulinzi wa nchi hii.