Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 16,042
- 7,474
not to have a mind is being very wasteful. :majani7::majani7:hii mbagala
not to have a mind is being very wasteful. :majani7::majani7:hii mbagala
As usual Mkulu full smile.....Mwamunyange as well...very happy indeed
![]()
Hapo wanaonekana wakicheka utadhani kilichotokea ni igizo tu
Wenye kushika madaraka halafu wakajisahau kua wapo hapo kwa maslahi ya waliowaweka ndio wenye hamu ya vita, kudai haki si kutaka vita.inahuzunisha.....KWA WENYE HAMU NA VITA .....NADHANI WATAKUWA WAMEJIFUNZA JAPO KIDOGO...YAANI JAPO KIDOGO....MADHARA YAKE NI NINI
Hii nahisi sio Gongo la mboto. Itakua tukio la Mbagala. U want to tell us rais kaenda huko leo.
yale ya mbagala walisema mabomu tanzania itakua historia je haya watasemaje?
Kweli Rais ameenda huko ila haiwezekani kwamba alirudi ikulu akabadili nguo halafu akaelekea hospitali. Maana ktk picha za hospitalini alivaa suit kama ya kijivu na shirt ya light lilac.Acha utomaso Rais Kaenda leo kama unabisha basi uwe unaangalia hata TV
Hii inauma sana na kutisha!
Kweli Rais ameenda huko ila haiwezekani kwamba alirudi ikulu akabadili nguo halafu akaelekea hospitali. Maana ktk picha za hospitalini alivaa suit kama ya kijivu na shirt ya light lilac.
Uwezekano mkubwa hizi picha ni za mbagala na siyo gombs.