Gongo la mboto in pictures....

hashycool

JF-Expert Member
Oct 2, 2010
6,555
2,829
DSC00891.jpg


DSC00895.jpg


DSC00887.jpg


DSC00898.jpg


DSC00907.jpg


DSC00914.jpg


DSC00917.jpg


DSC00921.jpg



KWA HISANI YA MICHUZI BLOG
 
yale ya mbagala walisema mabomu tanzania itakua historia je haya watasemaje?
 
sasa ni muda muafaka kuiondoa serikali madarakani kwani imeshindwa kutulinda raia wake...........
 
Ilianza Mbagala, now Gongo la Mboto, next ni Lugalo, Kunduchi au....??
Lazimz tuwajibishe watu hapa hili haliwezi kupita tuu bure.
Wanajamii tutoe modality ya jinsi ya kuwawajibisha watendaji na wasimamiaji ulinzi wa nchi hii.
 
Oooh My . . . .

Poleni sana ndugu zetu wote mlioadhirika na hili Janga.

Mpaka lini wanataaluma watanzania watajua wajibu wao wa kuzuia majanga kama haya simply by doing their part professionaly?

wasitake kutuambia kuwa hakuna bajet hata katika masuala nyeti na sensitive yanayohusu uhai wa watu.

Someone must be responsible.

Regards

SM
 
Tanzania Tanzania.......
Nakupenda kwa moyo wote
Nchi yangu Tanzania
Jina lako ni Tamu sana!

Nilalapo nakuota wewe,
Niamkapo napigwa mabomu...

Mungu libariki Jeshi letui!
 
The primary role of any government,any government is to protect its citizens!!What the hell about our govt???Do we need a commission to destroy the outdated army equipment??Why dont we learn through mbagala explosions???Now its a time to initiate a search on every military camps and identify all outdated/expired army equipment and destroy them NOW i mean ASAP.
Do we need extra man power or experts from abroad to do this simple job???
 
Back
Top Bottom