ungonella wa ukweli
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 4,210
- 556
Wapi muuaji mwigulu?
Kijana mwenye mikakati madhubuti ya ushndi Godbless Lema, ametamka kuwa amemaliza Arusha kurudisha kata zote 4 kama zawad ya wananchi kwa Lema kurudisha Ubunge wake, sasa atamka kuwa anadondoka rasmi kuikomboa Mtwara.
Amesema Mtwara imekosa mpambanaji wa kweli mwenye kujiamini na hvyo anashuka rasmi mtwara. Chadema leo imetwaa kata zote 4 licha ya nguvu kubwa ya CCM na jesh la Polisi hadi kupelekea naibu katbu mkuu Mwigulu kupga kambi Arusha mwezi mzima. LEMA amethbitisha umwamba wake katka siasa za Arusha. Lema ni kpenz cha wanaArusha bila shaka.
Amesema CCM wajiandae Mtwara kwa kuwa anaenda na kuipatia uhuru mtwara. Kumbuka A GRAIN OF WHEAT.[/QUOTE
]
NASHAURI KWA DHATI KUWA UONGOZI WA CHADEMA UMPATIE GODBLESS LEMA LIKIZO YA MAFUNZO KWENYE VYAMA RAFIKI ANGALAU KWA ZAIDI YA MWEZI MMOJA......ILI ATULIZE AKILI NA KURUDI NA MIKAKATI MIPYA..................KUFANYA KAZI HIZI BILA KUPUMZIKA KUNAWEZA KUMPUNGUZIA NGUVU FULANI...
HILO NI MUHIMU SANA LIKIZINGATIWA...
Kijana mwenye mikakati madhubuti ya ushndi Godbless Lema, ametamka kuwa amemaliza Arusha kurudisha kata zote 4 kama zawad ya wananchi kwa Lema kurudisha Ubunge wake, sasa atamka kuwa anadondoka rasmi kuikomboa Mtwara.
Amesema Mtwara imekosa mpambanaji wa kweli mwenye kujiamini na hvyo anashuka rasmi mtwara. Chadema leo imetwaa kata zote 4 licha ya nguvu kubwa ya CCM na jesh la Polisi hadi kupelekea naibu katbu mkuu Mwigulu kupga kambi Arusha mwezi mzima. LEMA amethbitisha umwamba wake katka siasa za Arusha. Lema ni kpenz cha wanaArusha bila shaka.
Amesema CCM wajiandae Mtwara kwa kuwa anaenda na kuipatia uhuru mtwara. Kumbuka A GRAIN OF WHEAT.
Naziona dalili za kuungana naye !
.........yan????c wa huku mbwinde mkuu umetuacha kidogo,tiririkaaaaaaanenda Mtwara Lema uwaeleze ukweli wananchi kwamba gesi yao wamepewa wachina kwasababu ya kulipa fadhila kutokana na dhahama iliyomkuta mtoto wa bwana mkubwa kule Uchina.
CDM inatisha zaidi ya moto wa gesi a-chugga, safi sana.Kijana mwenye mikakati madhubuti ya ushndi Godbless Lema, ametamka kuwa amemaliza Arusha kurudisha kata zote 4 kama zawad ya wananchi kwa Lema kurudisha Ubunge wake, sasa atamka kuwa anadondoka rasmi kuikomboa Mtwara.
Amesema Mtwara imekosa mpambanaji wa kweli mwenye kujiamini na hvyo anashuka rasmi mtwara. Chadema leo imetwaa kata zote 4 licha ya nguvu kubwa ya CCM na jesh la Polisi hadi kupelekea naibu katbu mkuu Mwigulu kupga kambi Arusha mwezi mzima. LEMA amethbitisha umwamba wake katka siasa za Arusha. Lema ni kpenz cha wanaArusha bila shaka.
Amesema CCM wajiandae Mtwara kwa kuwa anaenda na kuipatia uhuru mtwara. Kumbuka A GRAIN OF WHEAT.
usiogope wale jamaa ni marafiki zetu lait kama ungekuja soweto wakati wanalinda wao ungeona kwn wengi wao ni waelewa sio hawa ilimradi uwe mrefu na chagonja umemuona basi unapatakazi