Positive Thinker
Senior Member
- Nov 3, 2007
- 109
- 15
Umetumwa Kowan tutolea pumba zako hapa
Uko sahihi.
Huyu dogo anasumbuliwa na uelewa mdogo na kupenda ushabiki wa kijinga.
Hajui ubunge ni wadhifa wenye heshma.
Bado ana mawazo yale yale aliyokuwa nayo alipokuwa CHALII.
Ni aibu kwa Bunge letu kuwa na mwakilishi kama yeye asiyependa kufuata sheria alizotunga.
Uko sahihi.
Huyu dogo anasumbuliwa na uelewa mdogo na kupenda ushabiki wa kijinga.
Hajui ubunge ni wadhifa wenye heshma.
Bado ana mawazo yale yale aliyokuwa nayo alipokuwa CHALII.
Ni aibu kwa Bunge letu kuwa na mwakilishi kama yeye asiyependa kufuata sheria alizotunga.
Umetumwa vibaya wewe! Shame on you na hao wapuuzi walokutuma. Mtasema yote mwaka huu, mbna bdo mchana hv? Fisadi mkubwa wewe!
wanajamvini nilikuwa naangalia taarifa ya habari channel 10 kuhusu sakata la dodoma nillkichokiona kwa lema ni kuwa huyu ni mtu jasiri. Mkuu wa mkoa anasema "kuanzia sasa wanasiasa hawaruhusiwi kwenda vyuoni na kufanya shughuli za kiasiasa kwa kuwa wanasababisha vurugu na ndio maana wanafunzi wa udom wamejaa pale na kuletya vurugu". lema akahojiwa akasema na "yeye hatasimama kwenda kwenye vyuo kwa kuwa si dhambi ataenda vyuo vingi tu hakuna sheria yoyote anayovunja kuongea na wanafunzi na mazingira anayoongea ni yale aliyokuwepo mkuu huyo wa mkoa ingawa watu wa tv hawakuonyesha mkuu huyo wa mkoa alikuwa wapi. Anasema alikwenda udom kuwaambia wanafunzi waje kutoa mawazo yao kwa kuwa mswada umeandikwa kwa kiingereza na wale ni wasomi wanajua wanachangia nini. Nikasema hivi huyu jamaa akipewa uongozi wa aina yoyote sehemu anayoisimamia itakuwaje, namkubali sana huyu jamaa ktk kuwakilisha hisia zake.mungu amlinde
huyu siyo mwanasiasa shujaa ni mwanasiasa limbukeni,katika kila nchi siasa inapotumiwa kuwaanda watu kutotii sheria na kudhalau mamlaka matokeo yake ni madhala makubwa kwa raia na faida kwa wanasisa,wewe mshangilie kwa kuwa unazani chadema leo wako nje ya utawala,kesho wakiwa madarakani na haya yakaendelea watauwa waatu kutaka kutawala kirahisi.jifunze kutafakali kabla hujampongeza mtu na ushabiki siyo lazima umpongeze hata mjinga.
{1} Lema akitoa album ni habari kubwa.
{2} Lema akisema waziri mkuu kalidanganya bunge ni habari kubwa.
{3} Lema akisema atajenga machinga Complex ni habari kubwa.
{4} Lema akitoa msaada wa cements mifuko 10 ni habari kubwa.
{5} Lema akisema atajenga hospital kila kata ni habari kubwa.Hakuna kuhoji atapata wapi fedha na akitokea mtu wa kuhoji huyu ni mamluki hana uchungu na nchi yake.Blah balah kibao
Bahati mbaya namfahamu sana Lema hana lolote zaidi ya kuhamashisha fujo,ukiondoa mazingira ya fujo utabaki ukishangaa kila kitu kinawezekana Tanzania.Lema hana tofauti na Prof Majimarefu au mbunge wa Rorya.Lema ni kihiyo wa kutupwa ukitaka kuthibitisha jinsi alivyo mtupu nenda General Tyre waulize wafanyakazi waliokuwepo wakati naibu waziri wa biashara na viwanda alipofanya ziara maoni ya Lema yalimshangaza kila mtu ati anapendekeza ijengwe machinga complex badala ya kufufua kiwanda ?.Waziri Nyalandu alibaki akimshanga Lema.Mwenyekiti wa POAC Mheshimiwa Zitto alikuwepo kwenye ziara ya Nyalandu akipenda aseme ukweli mbunge mwenzake kihiyo alisema nini.Ajabu ni kwamba Lema anapokutana na vyombo vya habari anazungumza vingine katika vikao vya ndani anazungumza vingine tumweke kundi gani ?.Lema ni mnafiki hana maana ni mwanasiasa asiyewakilisha maslahi ya wapiga kura wake .Tanzania tumezoea kuwakilishwa na wanasiasa wa aina ya Lema.