SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,760
Hizo ni stori mnapigiana wakati mnakuna nazi,siyo za kuleta mbele ya wanaumeMnafki ni yule aliekimbia madeni kisha akasingizia anataka kuuwawa.
Hizo ni stori mnapigiana wakati mnakuna nazi,siyo za kuleta mbele ya wanaumeMnafki ni yule aliekimbia madeni kisha akasingizia anataka kuuwawa.
Na zao la msomi wa Phd ambae ana aibisha taaluma yake. Kama kuwa na choo kizuri kisicho na mlangoNimependa huo mfano wa RC wa Mbeya
Kwanini asiwe TL. Jamaa wamekata tamaa kabisa aiseeKama UKANDA/UKABILA/UDINI utaamua VP na sio uwezo basi kuna siku tunaweza kujikuta tuna Rais kama RC Mbeya
😂😂😂😂😂😂😂
lema yupo sawa je vip yule makamu wa lisu anafaa kupewa nchi lkn hapo chadema hafai hata kupewa uwenyekiti toeni boriti yenu kwanzaElimu bila akili ni sawa na choo bila mlango by Godbless Lema
Nimecheka sana!
Tunapinga ccm kabla ya Magufuli na hivyo vyeti feki , hatujaanza jana na hatutaacha mpaka tumeitokomezaMada IPI umeiona hapo?ukiamua kufanansha akili za MTU unafanansha za watu weng? Lema ana akili gani?wewe kila kitu cua upinzani unakichukua unaweka kwenye boxi lako lakuhifadhia meno.kama hukufukuzwa kwa vyeti feki,ni ndugu yako au mama yako.you are so bitter na sio uchungu was nchi.
Hongera mpinzani wa miaka ya Uhuru.Tunapinga ccm kabla ya Magufuli na hivyo vyeti feki , hatujaanza jana na hatutaacha mpaka tumeitokomeza
Mataga ni wagumu sana kuelewa. Anachomaanisha Lema ni kuwa makamu wa rais anayeteuliwa sasa anytime anaweza kuwa rais in case something bad happend to Madam president katika hii miaka 4.Kwahiyo cdm hawautaki tena urais ili mabeberu wapate kuchota mali zetu
Samia Suluhu alichaguliwa na Magufuli kuwa makamu wake? Ndio maana huwa nasema wa tz bado uelewa mdogoCCM busara ipo. Ndio maana Magufuli alimchagua Samia Suluhu Hassan kuwa makamamu wake
Kazi ingekua kama Tundu angekua ndio Magufuli leo halafu yule makamu wake ndio awe Samia 👣👣
Sasa Patia picha Choo bila mlango ukichutama tu tunaona nyuzi zote
Iyo picha ya chini mwisho ni G.Lema anakuna nazi.Hizo ni stori mnapigiana wakati mnakuna nazi,siyo za kuleta mbele ya wanaumeView attachment 1730773View attachment 1730774
Siku hizi tunaenda mubashara mkuu.Kwahiyo siku hizi ni kutajana tu haina kuweka code?
Kwani Makamu wa Rais ni wa CCM peke yenu?Toka lini CHADEMA wameanza kuishauri CCM !!???
Nakuona unavyokata gogo ,choo kisicho na mlangoIyo picha ya chini mwisho ni G.Lema anakuna nazi.
Tazama kwa umakini utagundua.
Tundu alipewa ushauri,akanusurika kifo bada ya kumiminiwa risasi kadha.Sijui kwanini huu ushauri hakumpa Tundu