Mheshimiwa Lema
awahakikishia wananchi wa Arusha kujenga hospital tena wakimuuzi kwa
kutokuamini basi atajenga mpaka swimming pool hospitalini. Big up
Mheshimiwa Lema.
Mheshimiwa Lema awahakikishia wananchi wa Arusha kujenga hospital tena wakimuuzi kwa kutokuamini basi atajenga mpaka swimming pool hospitalini. Big up Mheshimiwa Lema.
so sad hicho kipindi kimenipita.!
saluti sana huyu kamanda..
Duuh kimenipita..
Kweli kabisa mkuu. Huyu jamaa anafaa hata kuwa RAISI wa nchi hii na mambo yakaenda kuliko sanamu tuliyonayo.
Duuh kimenipita..
thanx mkuu, ubarikiwe kwa kutujuza hayo.!Hoyce Temu amesema mwendelezo ni Jumapili saa 1:30 jioni Channel 10
sjui kuunganisha link sjui kama mnaweza nisaidia
lkn huyu H. Temu huwa anaweka kwa Facebook....
Search- MIMI NA TANZANIA
huwa anaweka!!
tanzania haiwezi kuongozwa na mvuta bangi na mwizi wa magari.
Hata kama elimu yake ni ndogo kama tunavyoaminishwa ila jamaa yupo smart kuliko hata hao wenye elimu kubwa hapa tz.....kasema kama kupigania haki ni fujo bs waendelee kumwita kinara wa fujo kwani hata nyerere wakt anapigania uhuru wazungu walisema anavunja sheria za nchi
Na pia hatuwezi kuongozwa na mbakaji!!Tanzania haiwezi kuongozwa na mvuta bangi na mwizi wa magari.
Kweli kabisa mkuu. Huyu jamaa anafaa hata kuwa RAISI wa nchi hii na mambo yakaenda kuliko sanamu tuliyonayo.