Godbless Lema live Channel Ten

Godbless Lema live Channel Ten

Hivi jk ametimiza ahadi ngapi kati ya alizoahidi? Watu wengine bana.
mkuu hakuna mbunge ana hela wote wanategemea hela ya serikali naendapo halmashauri ingekuwa fiti wangeweza kujenga ila kwa kuwa tunaendesha siasa za chuki tutaendelea kusema ccm ccm na maendeleo hayatakuwepo
 
Mtu mwenye akili zake hawezi akamsikiliza Lema.Atakuwa huyo mtu ana matatizo kuliko lema
 
Mlima wa pili kwa urefu Duniani.......???
Au milima mingine imezama...!

Sorry nitakuwa nimemnukuu vibaya. Ngoja nirekebishe, samahanini kwa usumbufu.

Mingine haijazama mkuu, ukigoogle utaona kila kitu!
 
Je kama kaokota fedha au kapewa zawadi au ameshinda bahati na sibu. Acha ujinga. Mwenyewe ujui kujenga hoja
usitukane mwerevu hapaswi kukashifu. toa mbadala hioutaiweka namba 2 kama unajua kaokota au kapata bahati nasibu huwezi kudai chochote
 
Hata kama elimu yake ni ndogo kama tunavyoaminishwa ila jamaa yupo smart kuliko hata hao wenye elimu kubwa hapa tz.....kasema kama kupigania haki ni fujo bs waendelee kumwita kinara wa fujo kwani hata nyerere wakt anapigania uhuru wazungu walisema anavunja sheria za nchi

Kama issue ni elimu: Mbona Kikwete na Makamu wake wote wana PHD + Mchumi grade I Mwigulu Nchemba lakini hawana ufumbuzi wa umasikini unaoikabili Tanzania! Wanaishia kulalamika kama wanawake wajane?
 
Mtu mwenye akili zake hawezi akamsikiliza Lema.Atakuwa huyo mtu ana matatizo kuliko lema

Hujakosea..Wenye akili nyingi wanamsikiliza Mwigulu, Lusinde, Serukamba, Nkamia nk.....
 
Ahadi moja tu imemshinda,mpuuzi tu huyu

Acha kuloloma, andaeni pesa za kulipia gharama za kesi! Kamanda anapigaje hela za CCM balaa! Kwanza bungeni halafu za hao wavimba macho waliofungua kesi!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom