mob
JF-Expert Member
- Dec 4, 2009
- 2,262
- 1,360
mkuu hakuna mbunge ana hela wote wanategemea hela ya serikali naendapo halmashauri ingekuwa fiti wangeweza kujenga ila kwa kuwa tunaendesha siasa za chuki tutaendelea kusema ccm ccm na maendeleo hayatakuwepoHivi jk ametimiza ahadi ngapi kati ya alizoahidi? Watu wengine bana.