nkongu ndasu
JF-Expert Member
- Jan 19, 2013
- 22,532
- 6,628
Jk ni mdini...
Ni kweli Lema hapaswi kuwa na woga wala hofu, hayo yote ni matunda ya utawala wa CCM katika kujenga amani, utulivu na mshikamano, kama inavyokuwa kwa raia wengine.
Je kama kaokota fedha au kapewa zawadi au ameshinda bahati na sibu. Acha ujinga. Mwenyewe ujui kujenga hoja[QUOTE
lema ni mpiganaji hodari tena jasiri. lakini nampa ushauri kwamba katika ksema ukweli ajenge hoja kwa sentensi chache kisha kuhitimisha hoja yake kwa kuzingatia zile hoja. hapo wasikilizaji wake watashindwa kubisha au kumpinga. mfano kama unataka kusema X ni mwizi utaanza:
1. X anapata mshahara wa kima cha chini
2. X hajarithi mali popote na hana shughuli inayomwongezea kipato
3. X kwa muda mfupi ameweza kuhodhi jumba la kifahahari
4. X kwa vyovyote ni mwizi hivo ni lazima atueleze amepataje hizo fedha
hata madai ya udini yafaa yajengewe hoja kwa njia hii. akifanya hivi atajenga heshima kubwa
Mama yangu si ndio wewempuuz mama yako mzazi
Vipi kuhusu kujenga Machinga Complex mbili alizoahidi kafikia wapi.
kamanda anafunguka pale.
Anasema Tanzania tuna Pamba, Korosho, Kahawa, gas , mafuta, uraniam, Tanzanite, mlima wa pili kwa urefu duniani, mbuga za wanyama kubwa kabisa duniani, hali ya hewa nzuri, nk, nk, sasa hapo tukisema Tanzania ni maskini ni kufuru.
Anasema tatizo ni hatuna viongozi wenye upendo na nchi yao ndiyo maana tuko hivi tulivyo!
Alipoulizwa kuhusu ahadi yake ya kujenga Hospitali jimboni kwake kwamba atawezaje kuitimiza wakati amekaa nje ya ubunge kwa muda mrefu, amesema ni kweli amekuwa katika usumbufu kwa takribani miaka miwili LAKINI LAZIMA NDOTO YAKE HIYO ITIMIE KUFIKIA 2015. Hataki kuwa mtu wa kutoa sababu tuu za kutokimiza ahadi.
Uchizi wake ndio umesababisha idadi ya watalii kushuka.