Inasikitisha sana wakazi wa Arusha tegemeo lao ni Lema. Hana sifa yoyote ya kuwa kiongozi.
mkuu,
Dr. Kitila anahusishwa na watu fulani humu kama na yeye ni kundi la 'masalia' kutokana na swala la madiwani Arusha. Haitakuwa vizuri kwake yeye kwenda kuchunguza kwa sababu kuna uwezekano hicho kikundi kikapiga kelele na kusema 'kesi ya mbuzi amepelekewa fisi'.
Labda Tablet ya Mheshimiwa Godbless Lema ni mbovu ndiyo maana hajatokea kutolewa ufafanusi kama afanyavyo kila mara kuhusu hii barua na viongozi wengine waandamizi bado wana hangover ya vikao vya chama.
Katika maswala ya uangalizi wa pesa, lazima kuwepo transaction na report ya maandishi kuhusu mapato na matumizi. Tunafahamu jf siyo mahali ya kuonyesha mtiririko wa each transaction lakini kwa vile Chama kinasimama katika dhana ya uwazi katika utendaji na kina viongozi waandamizi katika mitandao, basi wangetolea ufafanuzi kwa hili.
WASWAHILI WANASEMA, KIMYA KINGI KINA KISHINDO.
Mkuu Kakado,unasema Lema hafai kuwa kiongozi!!!hapo arusha alipataje ubunge??au aliteuliwa??fika mahali embe iitwe embe na chungwa liitwe chungwa lakini kuita chungwa embe si sawa.wadhani JK anafaa kuitwa kiongozi??amepelekewa majina na ushahidi wa wala rushwa na wauza madawa ya kulevya amechukuwa hatua yoyote??AU NITAJIE mtu mwenye madaraka ya juu iwe ccm na serikali yake anaefaa kuitwa kiongozi nyumba yako inaungua unainyooshea kidole nyumba ya mwenzio.kwa wasio muelewa lema wanaweza kuipinga hoja hii lakini kiualisia lema hafai kuwa kiongozi, nilishawahi kujiuliza lile gari lilikwenda wapi ila sikupata jibu nashukuru leo nimelipata by the way kama unavyosema ni dictator inawezekana mimi binafsi niliuchukia uwongonzi wake tulipokuwa tabora wakati wa uchaguzi mdogo alituchukua kwenye gari lake saa 8 usiku akatuamuru tumfate hatukubisha alitupeleka umbali wa km 30 kwenye kituo cha kupigia kura kama unavojua mazingira ya Tabora ni porini hakuna huduma yoyote ya muhimu akatuamuru tulinde yeye arudi lodge akalale eti ccm wasije kuleta kura batili.tunamshukuru mungu wote tulikuwa ni watu wenye akili timamu tukapingana na mawazo yake batili yakiuuwaji na udhalilishaji by the way inshort hatufai wana ARUSHA MORE INF 0718171545
Hivi Mungi sanity yako iko integral kweli?
Mtu kaiandika barua ofisi ya mäkao makuu ya chama na barua yenyewe iko hapa, halafu unauliza amechukua hatua gani? Au ulitaka apigane makonde kama anavyofanya Lema?
Barua inajieleza wazi kwamba ukorofi wa Lema umeshindikana kushughulikiwa na ngazi zote walayani na mkoani ndio maana wamepeleka swala hili kwa kamati kuu.
Lete hati ya kiwanja cha kujenga hospitali tuone jina la mmiliki...
Mkuu Kakado,unasema Lema hafai kuwa kiongozi!!!hapo arusha alipataje ubunge??au aliteuliwa??fika mahali embe iitwe embe na chungwa liitwe chungwa lakini kuita chungwa embe si sawa.wadhani JK anafaa kuitwa kiongozi??amepelekewa majina na ushahidi wa wala rushwa na wauza madawa ya kulevya amechukuwa hatua yoyote??AU NITAJIE mtu mwenye madaraka ya juu iwe ccm na serikali yake anaefaa kuitwa kiongozi nyumba yako inaungua unainyooshea kidole nyumba ya mwenzio.
A time wil tell.Mbona hawa si wakwenda nao haraka,taratibu kila mmoja atawekwa wazi kwa uchafu wake.Hapa nasubiria document zinifikie muda wowote kutoka makao makuu ya chama za uozo wa CHADEMA COLLEGE pale KIBAHA.Pesa zilishatoka,Katibu mkuu akaelekeza tumboni kwake
Hakuna haja ya kusema LEMA hafai kuwa kiongozi bali ana kashfa hizo ndani ya waraka Je anafaa kuendelea kuaminiwa kama hatatupa majibu?
Hawa wanaosimamia ArDF ndio beneficiaries wa huo ufisadi, unategemea waseme nini? Kama chadema iko serious imtume Kitila akafanye uchunguzi huru Arusha juu ya hizi tuhuma.
Kwanza tumia akili ndogo tu, Development foundation gani haina ripoti ya mwaka? Anachotakiwa kufanya ni kuleta ripoti ya mwaka ya mapato na matumizi pamoja na majina na anuani za walionufaika na ArDF.
Hakuna haja ya kusema LEMA hafai kuwa kiongozi bali ana kashfa hizo ndani ya waraka Je anafaa kuendelea kuaminiwa kama hatatupa majibu?
lema ni janga la taifamama porojo usiwe mfuasi (mtu asiye jitambua) izi tuhuma hajasingiziwa it is fact usitetee uovu lema hatufai wana arusha
huu ndiyo ujinga wa CCM tuhuma mlete nyie halafu ushahi tulete chadema...Tuwekee hati ya kiwanja hapa ili kuondoa utata simple as that watu waone jina la kiwanja na hata ikibidi weka michoro kwani kuna siri gani hapa?