Anyway, issue ya mtu mmoja pale Lumumba kukaa na kuandika hii kitu yenye font tofauti tofauti ni jambo la kawaida.
Walishaandika nyingine tena, wanaandika, wana-scan na kurusha kwenye mitandao ya kijamii.
Mtu kama wewe ukipita pita zako huko unaiokota unaileta hapa huku ukiwa hujui ilikotokea.
Nani anaweza kuthibitisha kwamba huu waraka ni barua ya watajwa na ilitumwa na KUFIKA makao makuu.
Very simple, kama wewe ni kiongozi, unasema Lema alileta Pikipiki, then unasema hujui ilipo, sasa tumuulize nani zaidi yako wewe unayejiita Kamanda? Yani mletewe pikipiki halafu ipotee, halafu mumuulize Lema.
Wendawazimu mwingine.
Issue ya Shamba Burka ilishakuja hapa na barua yake kama hii ya kipuuzi,
Isue ya michango ya Wafiwa ilishakuja hapa kwa barua za kizembe kama hizi na ikatolewa ufafanuzi sawia.
Hizi siasa sa CCM za hovyohovyo tu. Ukitaka heshima shurti Ufanye yenye kuleta Heshima......:A S 100: