Bujibuji Simba Nyamaume
Platinum Member
- Feb 4, 2009
- 78,217
- 166,217
Watang'atuka watu wooooote, lakini kamwe mroho wa madaraka, bitozi la Ki-kwe-re kamwe hawezi kujiuzulu, hata nchi nzima ikifaIwapo kuvuliwa kwa ubunge kwa Lema kutasababisha vurugu nashauri rais ajiuzuru. Vinginevyo ikulu patafuka moshi, watanzania wanaonekana kujawa na jazba na hasira juu ya kile kinachoonekana kuwa ni hila za CCM kwa CHADEMA na mahakama ikiwekwa kati. Ni vema wahusika wakawa makini na hili
nimepitia threads nyingi na sehemu nyingi ili kuona mawazo ya wanachadema na viongozi wao. nilichoona ni kuwa hawaaamini kama mahakama imetenda haki. bali si hilo tu wamediriki kuhisi kuwa ati mahakama imeamuriwa na ikulu kufikia maamuzi yaliofikiwa
nimesikitishwa sana na watu ambao siku zote hujihesabu makini kwa kauli zao za kuhusisha Ikulu na mahakama katika maamuzi.
inawezekana hukumu haikuwa tamu kwao, na wanahisi hawajatendewa haki, na ndio maana kwenye sheria kukawa na haki ya kukata rufaa ili kuhakikisha haki inatendeka. kwa hio ndugu zangu wa chadema kama mnahisi haki haijatendeka fateni taratibu za kisheria kudai haki zenu badala ya kuhubiri chuki na uongo
ndani ya chadema mna wanasheria wengi tu, watumieni ktk kuhakikisha haki inatendeka. na si kuwa nyny mkishinda tu haki imetendeka mkishindwa haki haijatendeka huko ni kutokuwa watu wa haki.
Sisi watu wa pwani kazi yetu kubwa inayotuweka mjini ni KUPARA-MIWA na kuhudhuria hitima bila kusahau ndizi,chachandu na pilipili kwenye kikopo
nimepitia threads nyingi na sehemu nyingi ili kuona mawazo ya wanachadema na viongozi wao. nilichoona ni kuwa hawaaamini kama mahakama imetenda haki. bali si hilo tu wamediriki kuhisi kuwa ati mahakama imeamuriwa na ikulu kufikia maamuzi yaliofikiwa
nimesikitishwa sana na watu ambao siku zote hujihesabu makini kwa kauli zao za kuhusisha Ikulu na mahakama katika maamuzi.
inawezekana hukumu haikuwa tamu kwao, na wanahisi hawajatendewa haki, na ndio maana kwenye sheria kukawa na haki ya kukata rufaa ili kuhakikisha haki inatendeka. kwa hio ndugu zangu wa chadema kama mnahisi haki haijatendeka fateni taratibu za kisheria kudai haki zenu badala ya kuhubiri chuki na uongo
ndani ya chadema mna wanasheria wengi tu, watumieni ktk kuhakikisha haki inatendeka. na si kuwa nyny mkishinda tu haki imetendeka mkishindwa haki haijatendeka huko ni kutokuwa watu wa haki.
Chadema siku wakichukuwa nchi mahakama zote zitakuwa chini ya Chadema...hukumu ipo wazi kweli Lema alikuwa anatoa kauli za kashfa kwenye mikutano yake 8 kati ya 60 aliyofanya.
...hatuna muda wa kupoteza ktk hizo mahakama zenu za CCM,mahakama tunayoiami ni UMMA na huko ndo tunaenda kukata rufaa yetu...Nape kabla ya hii hukum ya kishenzi alikuwa ameishasema kabisa mapema kuwa CCM mnajianda kwa uchaguzi kwan mnajua kabisa Lema atashindwa kesi,sasa wewe unakuja na unafiki wako eti unatushauri CDM twende kwenye mahakama ambazo hukumu zake Nape tayari anazo?...tuondole uchafu wako huu,peleka porojo zako kwa-waywa-kahawa wenzako huko vijiweni...nimepitia threads nyingi na sehemu nyingi ili kuona mawazo ya wanachadema na viongozi wao. nilichoona ni kuwa hawaaamini kama mahakama imetenda haki. bali si hilo tu wamediriki kuhisi kuwa ati mahakama imeamuriwa na ikulu kufikia maamuzi yaliofikiwa
nimesikitishwa sana na watu ambao siku zote hujihesabu makini kwa kauli zao za kuhusisha Ikulu na mahakama katika maamuzi.
inawezekana hukumu haikuwa tamu kwao, na wanahisi hawajatendewa haki, na ndio maana kwenye sheria kukawa na haki ya kukata rufaa ili kuhakikisha haki inatendeka. kwa hio ndugu zangu wa chadema kama mnahisi haki haijatendeka fateni taratibu za kisheria kudai haki zenu badala ya kuhubiri chuki na uongo
ndani ya chadema mna wanasheria wengi tu, watumieni ktk kuhakikisha haki inatendeka. na si kuwa nyny mkishinda tu haki imetendeka mkishindwa haki haijatendeka huko ni kutokuwa watu wa haki.
Siyoi has a super super job that pays him handsomely... Acheni *****
sisi watu wa pwani kazi yetu kubwa inayotuweka mjini ni kupara-miwa