Godbless Lema aunguruma uwanja wa NMC Arusha

Godbless Lema aunguruma uwanja wa NMC Arusha

Status
Not open for further replies.
kuna vijana wamepita hapa wanaimba hiv "2napendana sana sisi mapanya" huku wakionyesha sura za huzuni inaonyesha kitendo cha kuitwa panya kimewakera sana
 
Hakuna cha ushirikiano,wako kibiashara ukiona pikipiki ujue washasunda 10,000/=

Yaani wewe una mawazo ya kimagamba sana! Unadhani kila chama ni lazima kuhonga ili kipate support! Hayo ya kuhonga wananchi 10,000/= na ubwabwa ni ya chama cha magamba sio CHADEMA! By the way jina lako linataka kufanana na la yule kibondende mtangazaji. Salamu kwa magamba wote!
 
.......teh teh Ngongo sijakusika.
lema ametoka leo asubuhi na leo mchana atakua na mkutano Viwanja vya NMC kuongea na wapiga kura wake yale aliyoyaona gerezani,watu wa sehemu mbalimbali kutoka arusha wanaelekea huko,pikipiki zmejaa mitaa ya njiro zikiwa na bendera ya cdm
 
Akihutubia aongee yote aliyoyaoona na yaliyompata. Maana Gerezani akiingia mwanaume tena mwenye mung'ao wa Ubunge si haba yanaweza kumkumba yaliyosemwa na Cameroon.
 
Msafara mkubwa wa cdm kuelekea viwanja vya barafu dodoma,watu wamejitokeza kwny msafara,
 
Masikio yetu yako Arusha leo. Tusubiri tutarudi baadae.
 
kuna vijana wamepita hapa wanaimba hiv "2napendana sana sisi mapanya" huku wakionyesha sura za huzuni inaonyesha kitendo cha kuitwa panya kimewakera sana
Watu wakiwa madarakani wanajisahau kabisa, huwezi ukawaita wenzako mapanya
 
Chadema wanazidi kulidumaza Jiji la Arusha biashara zimekuwa ngumu wawekezaji wanaukimbia kutoka na kundi la wahuni wa Chadema..

Nimeongea na rafiki yangu ana hotel ya kitalii mbugani analalamika watalii na wageni wengine wanaogopa kuja Arusha..

Mji umejaa vibaka kila kona wanapora vitu hovyo uku wakijinadi hii ndio nguvu ya umma huku wakionyesha vidole ya viwili..
chadema hawana jeshi wala mahakama wala serikali mipango yote ni ya ccm halafu magamba wanauharibu mji wa arusha kwa mambo mawili nionavyo mimi kwanza kama uliwahi sikia wale nyoka wa mirerani yaani wale wachimbaji wadogo wote wamefukuzwa na serikali maaneo wakapewa wazungu tanzanite one ,pili viwanda vya arusha vimekufa au kuuzwa kwa wahindi wao wakauza mitambo kama chuma chakavu yote hayo ni serikali ya ccm je unacha kuongeza? vijana waende wapi pesa za epa wamepewa mafisadi yaani double mifisadization aaa magamba mabaya sanaaaaaaaa
 
Jamani nilikua INDIA kutibiwa mafua,....kuna nini hapa Nchini?
 
Hakuna cha ushirikiano,wako kibiashara ukiona pikipiki ujue washasunda 10,000/=

CHADEMA ni chama cha watu waelewa wapenda maendeleo, wachapa kazi kwa vitendo hata ukisoma sera zao sio kama za ccm kuhonga na kukandamiza haki za watanzania. Hakuna kitu kibaya wanachokifanya ccm kama kutoa hongo badala ya elimu ya kupambana na maisha. Kile kibunda cha Igunga mapolisi waliwarudishia au na wao walichukua hapo na za kwao. CCM matapeli, matapeli matapeli.
 
Leo wanaipatapata kote kote mpaka kieleweke
 
samahani wapendwa,

hivi leo si nasikia ni sikukuu ya idd? au idd ilikuwa jana? kama ni leo imekuwaje mahakama imekaa? naomba mnisaidie hapo mwenzenu niko safarini!

Mungu awabariki sana

Glory to God!!
 
mpaka sasa watu ni wengi kweli na kamandamwigamba anasema mahakamani watu ni wengi kuliko hapa sasa sijui wakifika itakuwaje..amesema mbowe, dr slaa, halima, na makamnda mbalimbali watakuwepo...
 
Viva CDM..... mtakao kuwa mkutatoni msisahau kubeba vitambaa vyeupe kuashiria amani"peace" na maji maana hawa kina "zuberi" hawakawii kufyatua mabomu yao ya machozi hivyo ikitokea wanafyatua watu wananawa uso wananaendelea na mkutano.

Natamani ningekuwa AR nami ningejumuika....jioni sijui TV gani watatuonyesha kwenye habari itabidi nikae sehemu yenye jenereta kwa umakinizaidi maana tanegiza nao hakawii kukata umeme tukakosa kushuhudia kamanda wetu akiwapa vidonge magamba.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom