mkubwa upoo?ukifika nijuze
Nipo hapa mahakamani. Lema ameloaloa kama vile walim-cameron huko alikokuwa. Inatia huruma.
Hakunaga, zaidi ya Lema. nimeipenda hiiNimepishana na kundi la vijana maeneo ya Summit wanaimba
"Hakunaga mbunge kama wewe"
niko hapa friends corner watu ni wengi wanamsubiria mbunge huku vidole viwili vikitawala
Huyo rafiki yako na hao 'wageni wengine' waambie waende bagamoyo wakawekeze huko.. Kwingine tunasafisha kwanza hadi tuhakikishe mafisadi wameisha.
Mwanza pa moto hawawezi kukurupuka,wakuu jitahidini kutwekea picha na maelezo ya kina,hwa mpaka wanyooke tu
wakuu me nakaribia hapo nmc sijui kukoje nami pia nitajaribu kutuma pic
Hakuna ubishi, huyu jamaa no kiboko. Anawachezesha polisi na CCM ngoma yake. Kweli kumpiga teke chura ni kumuongezea spidi. Shime shime wana Arusha jitokezeni kwa wingi kumlaki mbunge wenu, huyo hamjampata hapa duniani kama walivyo wabunge wa kidunia kama Lusinde, Job Ndugai, Samwel Sita, et el
tushabikie tu maandamano na mikutano yasiku thekathini katika mwezi ikifika jioni kijana hana msosi anavizia watu anakaba na kibaya zaidi wanakabana wenyewe kwa wenyewe kwa weli hali ya uchumi katika jiji la arusha ni mbaya kupita,nashauri mikutano hii pia na maandamano haya yafanyike moshi na dar-es-salaam