Godbless Lema aunguruma uwanja wa NMC Arusha

Godbless Lema aunguruma uwanja wa NMC Arusha

Status
Not open for further replies.
Kuwepo ni muhimu wana Arusha tuwepo kwa pamoja kumlaki shujaa wetu
 
Wana janvi mlioko A-twn mtuhabarishe nn kinaendelea huko Kisongo na arusha kwa ujumla mara baada ya kamanda Lema kutoka mahabusu.
 
Nnasikitika sana kwa kuukosa huu mkutano sababu nipo safarini kuelekea Uganda kibiashara.Nnaomba makamanda mtatupa taarifa humu jamvini kile kinachoendelea huko.
 
hivi hamnaga video za huko nmc zinazorushwaga youtube?cz mie naogopa virungu,,,,
 
Wana janvi mlioko A-twn mtuhabarishe nn kinaendelea huko Kisongo na arusha kwa ujumla mara baada ya kamanda Lema kutoka mahabusu.

Ni vizuri kuwa mtulivu wakati wa kupost ili kupunguza mchanganyiko. Sasa hapo hata mimi mwenyewe sijaelewa kama unaleta taarifa au unauliza swali.
 
Hajazingatia taratibu za uandish!
Ni vizuri kuwa mtulivu wakati wa kupost ili kupunguza mchanganyiko. Sasa hapo hata mimi mwenyewe sijaelewa kama unaleta taarifa au unauliza swali.
 
Nimeahirisha kuingia class baada ya kazi ili nihudhurie hii kitu ........ itabamba kweli kweli
 
poa wana jf naomba tupeni taarifa nini kinajili
 
lema ametoka leo asubuhi na leo mchana atakua na mkutano Viwanja vya NMC kuongea na wapiga kura wake yale aliyoyaona gerezani,watu wa sehemu mbalimbali kutoka arusha wanaelekea huko,pikipiki zmejaa mitaa ya njiro zikiwa na bendera ya cdm
 
Ndio paka mi nipo kwenye ofisi hapa napakana na NMC kwa kutenganishwa na ukuta tu
na ninasubiri hilo kwani leo ni siku kuu bado hope tutakutana hapo.
Pamoja sana kiongozi wetu...naamini tutaonana!
 
....wasije mrudisha tena kwa uchochezi!
 
Weraweraaaaaaaaaa alunta kontinua chama cha demokrasia na maendeleo. Viva G lema.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom