Al-Shabaab?
Hakuna ubishi, huyu jamaa no kiboko. Anawachezesha polisi na CCM ngoma yake. Kweli kumpiga teke chura ni kumuongezea spidi. Shime shime wana Arusha jitokezeni kwa wingi kumlaki mbunge wenu, huyo hamjampata hapa duniani kama walivyo wabunge wa kidunia kama Lusinde, Job Ndugai, Samwel Sita, et elMheshimiwa mbunge wa Arusha mjini kamanda G Lema baada ya kutoka gerezani leo atazungumza na wapiga kura wake ktk viwanja wa NMC UNGALIMITED.
Nawasilisha
Al-Shabaab?
Al-Shabaab?
Mtoa mada ni mwanaharakati mzuri sana hawezi kosa!ntakuwa hapo mapema sana, mtoa mada utakuwepo?
Mtoa mada ni mwanaharakati mzuri sana hawezi kosa!
Mimi na members wengine 5 wamenihakikishia kuwa watakuwepo!
Hivyo kwa habari ya updates za picha, sauti na Maandishi mtashindwa wenyewe!
Kuna MwanaArusha mmoja, Mfanyabiashara maarufu, alitutafuta wanaJF arusha hadi kutupata, akatuambia kuwa anafurahishwa sana anapoona matukio ya kisiasa yanavyorushwa live kutoka Arusha, na kwa kuonyesha kufurahishwa na hilo akasema kila kukiwa na tukio basi atatoa laptops na kamera zake kuwezesha matukio kufika dunia nzima!
Tunamshukuru sana mzee huyu...members wa Arusha wanamjua vyema!