Godbless Lema aunguruma uwanja wa NMC Arusha

Godbless Lema aunguruma uwanja wa NMC Arusha

Status
Not open for further replies.
Hawezi kusema yote mengine ni siri yake

lengo lake la kwenda selo ni kujifunza maisha ya huko. Anataka kujua wafungwa wanavyofanyiwa wakiwa selo.
 
G. Lema that is a good platform to raise the voice for all sort of wrong doings in this country.
CDM should also point ( a part of the fingers to the police) to other politicians who when running
for positions they make a lot and good promises while they know that it is all a lie.
CDM IENDE MBELEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE MBELE MBELE
 
Sasa kafanikiwa alichokuwa anatafuta mpaka kujipeleka Jela? au ndio akili ubuyu..
 
Basi ukiona hivyo ujue wameshamtoa kimya kimya....

Na leo Zuberi apeleke masaburi yake viwanja vya NMC atamke neno "nyie panya" aone cha moto. Patachimbika leo. Mbona kuna kamanda amekaimu nafasi yake au ndio kwaheri A-Town? Atakua amerudishwa makao makuu nini, manake wameshamstukia anatumia masaburi kutenda kazi yake.
 
hao jamaa wa pikipiki badala ya kutafuta kula yao wanashabikia ujinga.

siku zote mjinga huona wenzake wajinga,hakuna maendeleo pasina haki,wanachokifanya leo watoto na wajukuu zako watavifaidi ili hali wewe,ukificha sura yako kwa aibu ya kuwa mwoga.
 
habari ndo hiyo.
Kamanda lema uraiani. Moto ndo umewashwa
Je ni nani wa kuuzima?
 
lengo lake la kwenda selo ni kujifunza maisha ya huko. Anataka kujua wafungwa wanavyofanyiwa wakiwa selo.

Mbona una mawazo ya kuhemewa sana kisogoni!?,mada iliyoletwa mezani ni tofauti kabisa na unavyochangia.
 
Chadema wanazidi kulidumaza Jiji la Arusha biashara zimekuwa ngumu wawekezaji wanaukimbia kutoka na kundi la wahuni wa Chadema..

Nimeongea na rafiki yangu ana hotel ya kitalii mbugani analalamika watalii na wageni wengine wanaogopa kuja Arusha..

Mji umejaa vibaka kila kona wanapora vitu hovyo uku wakijinadi hii ndio nguvu ya umma huku wakionyesha vidole ya viwili..

Wewe mwenzetu mtoto wa kigogo ni afisa ubalozi wa nchi gani vile??

Inaelekea hujui kinachoendelea Bongo kabisa na wala hujitahidi hufahamu zaidi ya kulalamika kwa vile your days are now numbered!!!

Kwa taarifa tu, watalii hawaji Arusha kwa sababu ya Al-Shab.... Kenya. Watalii wetu wa mbugani huwa wanapitia huko!!! Vurugu za A town chanzo kila mtu anakijua, CCM hawakubali kushindwa .... period!!
 
Tupe habari kwa undani manake mada hizi zimekuwa nyingi bila mwendelezo. Nafikiri yafaa ziunganishwe sasa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom