Al-Shabaab?
Niko njiani kuelekea huko!
Mkuu PJ, humo kwenye red humo....usimtaje jina! ukithubutu tu kumtaja basi CCM wanamfilisi mchana kweupeee kupitia TRAMtoa mada ni mwanaharakati mzuri sana hawezi kosa!
Mimi na members wengine 5 wamenihakikishia kuwa watakuwepo!
Hivyo kwa habari ya updates za picha, sauti na Maandishi mtashindwa wenyewe!
Kuna MwanaArusha mmoja, Mfanyabiashara maarufu, alitutafuta wanaJF arusha hadi kutupata, akatuambia kuwa anafurahishwa sana anapoona matukio ya kisiasa yanavyorushwa live kutoka Arusha, na kwa kuonyesha kufurahishwa na hilo akasema kila kukiwa na tukio basi atatoa laptops na kamera zake kuwezesha matukio kufika dunia nzima!
Tunamshukuru sana mzee huyu...members wa Arusha wanamjua vyema!
Namsubiri nipo hapa Nmc kabisa na bike zote za A-town zinaonesha ushirikiano wa kutosha
Vipi na wewe una pikipiki ushachukua mgao wako 10,000/=@
Hakuna cha ushirikiano,wako kibiashara ukiona pikipiki ujue washasunda 10,000/=
Kwani nae alifaidika kama Ritz Zero kupitia Simon group na zile hela za EPA zilizorudishwa na ManjiVipi na wewe una pikipiki ushachukua mgao wako 10,000/=@
kenge maji weee, alshabab mama yako.
Kabonde na Ngongo lao moja, majungu mpaka mwisho. Lakini leo watachekea chooni.We kabonde acha u-masaburi wako na usenge wa ccm wa kuwalipa hongo hadi wanafunzi ili waje kwenye mikutano yenu ya magamba.
Mimi nipo kwenye msafara na hicho unachotaka wana-jf wakuamini sijakiona kwani hata maji ya kunywa tunanunua kwa pesa zetu!