Godbless Lema aunguruma uwanja wa NMC Arusha

Godbless Lema aunguruma uwanja wa NMC Arusha

Status
Not open for further replies.
wadau wataweka mda si mrefu.makelele nderemo na vifijo.
Mandela wa tz is free
 
tupe full report mambo yanavyoenda step kwa step na jinsi intelligensia ya vilaza wanavotazama
 
Hollow-petty politics that dont serve anyone. democracy in a poor semi-literate country at its best. CDM ni walalamikaji nje ya nguvu ya dola, pindi wakipata watashau yote haya na kutuibia tu kama CCM na kutumia dola kuwapinga wapinzani watakaowapinga enzi hizo. Politics has never been clearer on this ( counter elites vs ruling elites manipulating the masses to fulfil the ever present thirst for promoting personal and not public interests).
 
pamoja sana mkuu.sisi huku dar tutakuwa tunatia ubani na sala kwenda mbele.mimi najua ukombozi wa pili wa nchi hii umeaanzia kanda hizo za kaskazini yaani klm,ar ,mr mpaka mz,bk,kg,shy na sasa moto wa kaskazini ukifika mpaka tbr wakati ule wa mb ukisambaa ir,rk na rvm na kuna siku natabiri mtr,ld,mgm,na ta kuwa ngome kuu za mapambano,yaani mpaka kieleweke.

kweli kabisa mkuu mpk kieleweke. Peoples poweeeer!
 
Chadema wanazidi kulidumaza Jiji la Arusha biashara zimekuwa ngumu wawekezaji wanaukimbia kutoka na kundi la wahuni wa Chadema..

Nimeongea na rafiki yangu ana hotel ya kitalii mbugani analalamika watalii na wageni wengine wanaogopa kuja Arusha..

Mji umejaa vibaka kila kona wanapora vitu hovyo uku wakijinadi hii ndio nguvu ya umma huku wakionyesha vidole ya viwili..
Huyo rafiki yako na hao 'wageni wengine' waambie waende bagamoyo wakawekeze huko.. Kwingine tunasafisha kwanza hadi tuhakikishe mafisadi wameisha.
 
Chadema wanazidi kulidumaza Jiji la Arusha biashara zimekuwa ngumu wawekezaji wanaukimbia kutoka na kundi la wahuni wa Chadema..

Nimeongea na rafiki yangu ana hotel ya kitalii mbugani analalamika watalii na wageni wengine wanaogopa kuja Arusha..

Mji umejaa vibaka kila kona wanapora vitu hovyo uku wakijinadi hii ndio nguvu ya umma huku wakionyesha vidole ya viwili..

Vibaka ni matokea ya sera za kifisadi za CCM. Wanakumbatia wezi wa mali ya umma na majambazi wanaowachangia wakati wa kampeni. Yaani wao ili mradi una pesa, hawajali umezipataje, mradi tu uwe tayari kuwachangia. Matokeo yake nchi sasa inaelekea kuwashinda!

Kama vijana wangewekew mazingira mazuri ya kufanya kazi, ziwe za kujiajiri au kuajiriwa kamwe wasingekuwa na fujo. Nani anapenda kuwa kibaka? Nani anapenda kuishi maisha ya kubabaisha? Ukiwa tajiri katikati ya kundi la watu masikini basi jua kwamba hauko salama!
 
Ni mwendo wa Masale, bendera na vidole viwili hewani... Na wameanza kufunga maduka.
 
niko hapa friends corner watu ni wengi wanamsubiria mbunge huku vidole viwili vikitawala
 
Chadema wanazidi kulidumaza Jiji la Arusha biashara zimekuwa ngumu wawekezaji wanaukimbia kutoka na kundi la wahuni wa Chadema..
Mji umejaa vibaka kila kona wanapora vitu hovyo uku wakijinadi hii ndio nguvu ya umma huku wakionyesha vidole ya viwili..

Nchi yenyewe imedumaa itakuwa Arusha!
Ni mji gani unafanya vizuri kibiashara Tanzania hii ya leo?
Vibaka unawaona ila wezi wa kalamu a.k.a Mafisadi huwaoni na Jembe na Nyundo?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom