Mwanahakij
Senior Member
- Jul 29, 2009
- 129
- 22
hata gadafi aliwaita waliokuwa wanampinga mapanya, lakini siku ya arobaini ni yeye aliekzibuliwa kutoka kwa mtaro wa maji machafu kama panya! what goes arround always comes arround!
Huyo rafiki yako na hao 'wageni wengine' waambie waende bagamoyo wakawekeze huko.. Kwingine tunasafisha kwanza hadi tuhakikishe mafisadi wameisha.
wanaanza saa ngapi make nimetoka hapo benki ya CRDB watu wamejipanga njiani huku nyimbo za chadema zinapigwa!mpaka sasa watu ni wengi kweli na kamandamwigamba anasema mahakamani watu ni wengi kuliko hapa sasa sijui wakifika itakuwaje..amesema mbowe, dr slaa, halima, na makamnda mbalimbali watakuwepo...
mkuu hapo peusi nilisoma fasta nikafikiri umeandika makamba!! ha ha hampaka sasa watu ni wengi kweli na kamandamwigamba anasema mahakamani watu ni wengi kuliko hapa sasa sijui wakifika itakuwaje..amesema mbowe, dr slaa, halima, na makamnda mbalimbali watakuwepo...
Nchi yenyewe imedumaa itakuwa Arusha!
Ni mji gani unafanya vizuri kibiashara Tanzania hii ya leo?
Vibaka unawaona ila wezi wa kalamu a.k.a Mafisadi huwaoni na Jembe na Nyundo?
Msafara mkubwa wa cdm kuelekea viwanja vya barafu dodoma,watu wamejitokeza kwny msafara,
Hii ni Biological error.................kichwa chako sio kasha la kuhifadhia mdomo, macho, pua na masikio........kuna ubongo humo, UTUMIE.tushabikie tu maandamano na mikutano yasiku thekathini katika mwezi ikifika jioni kijana hana msosi anavizia watu anakaba na kibaya zaidi wanakabana wenyewe kwa wenyewe kwa weli hali ya uchumi katika jiji la arusha ni mbaya kupita,nashauri mikutano hii pia na maandamano haya yafanyike moshi na dar-es-salaam
mpaka sasa watu ni wengi kweli na kamandamwigamba anasema mahakamani watu ni wengi kuliko hapa sasa sijui wakifika itakuwaje..amesema mbowe, dr slaa, halima, na makamnda mbalimbali watakuwepo...
http://www.google.co.tz/url?url=htt...anguka&usg=AFQjCNGS5idBcz_WLPRLrM24xbIG3t1zLANipo hapa mahakamani. Lema ameloaloa kama vile walim-cameron huko alikokuwa. Inatia huruma.
duuu! hadi wakinamama,kinadada na wazee wamejitokeza. Kweli saa ya ukombozi ni sasa
Kabla ya kumuua jamaa walimla Cameroon, du watu wabaya. Ritz jipange your days are numbered.hata gadafi aliwaita waliokuwa wanampinga mapanya, lakini siku ya arobaini ni yeye aliekzibuliwa kutoka kwa mtaro wa maji machafu kama panya! what goes arround always comes arround!
nyie ndo mnaotafutwa!!Niko njiani kuelekea huko!
,thats grt..,mi nimeshaweka kanyagio road ya kufka nmc