Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
lema ametoka leo asubuhi na leo mchana atakua na mkutano Viwanja vya NMC kuongea na wapiga kura wake yale aliyoyaona gerezani,watu wa sehemu mbalimbali kutoka arusha wanaelekea huko,pikipiki zmejaa mitaa ya njiro zikiwa na bendera ya cdm
Yule jamaa aliye waita wapiga kura Panya nae vp yupo viwanjani