Feedback
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 7,988
- 4,514
Wewe mwenyewe unamjua.Zaidi ya baadhi ya wanywa banana wa Arusha nani anamjua Lema nje ya Arusha.
Wewe mwenyewe unamjua.Zaidi ya baadhi ya wanywa banana wa Arusha nani anamjua Lema nje ya Arusha.
Huyu jamaa ana kawaida ya kujikamatishaMbunge Lema anashikiliwa na jeshi la polisi kwa kufanya vurugu kwenye vituo vya uandikishaji. Tunawaomba polisi wamshikilie mpaka uandikishaji utakapoisha.
Acha ushabiki wa kike wewe,Toka juzi watu wanalalama hapa hujuma tume inayofanya hapo arusha unajitoa ufahamu
Lema na kinana nani tapeli nchi hii?
Lema na sitta nani tapeli nchi hii
Lema na nape nani tapeli?
Mbunge Lema anashikiliwa na jeshi la polisi kwa kufanya vurugu kwenye vituo vya uandikishaji. Tunawaomba polisi wamshikilie mpaka uandikishaji utakapoisha.
Siwezi kupoteza muda wangu kumsikiliza ---- wenu huyo
Hivi huko poteee BVR walikopita Hakuna matatizo Kama Arusha?
Je, huko kote walikokwisha pita Hakuna wabunge? na Kama wapo kwanini hawakuingilia pale utaratibu ulipovurugwa?
Kwanini litokee Arusha tuu? kwanini ahusishwe Lema tuu,? Na ni stahiki kwa mbunge kwenda kusimamia uandikiswaji wa wapiga kura wakati Tume Ndo ilio na mamlaka ya kuratibu....
My take, Kama anachokifanya Lema ni sahihi...nalaani kitendo cha polisi...ila Kama ni ukurupukaji wa Lema wacha wampige tuu..
maandamano ni tendo takatifu katika kudai haki.
Acha ushabiki wa kike wewe,Toka juzi watu wanalalama hapa hujuma tume inayofanya hapo arusha unajitoa ufahamu
Lema na kinana nani tapeli nchi hii?
Lema na sitta nani tapeli nchi hii
Lema na nape nani tapeli?
Hata mkibisha ccm ni Chama dume
Zaidi ya baadhi ya wanywa banana wa Arusha nani anamjua Lema nje ya Arusha.
tatizo viongozi wengi wa upinzani tz ni mataburalasa a.k.a vilaza wao ndio kila siku wanapiga kelele kuhusu tume huru ya uchaguzi alafu haohao wanaingilia kazi za tume mara ooh muda hautoshi, mara mashine mbovu sasa hapo tume kazi yake nini au wenyewe upinzani ndio wanajua kila kitu. huyo LEMA anaenda kupiga siasa kwenye kituo cha uchaguzi anatukana watu acha wamu arrest. maeneo mengi mashine za bvr zinafanya kazi vizuri labda zizingue arachuga inamaana ni kuna watu wengi
kwan machinga complex ashajenga? wote wale wale. TEAM WAZALENDO