chikutentema
JF-Expert Member
- Dec 10, 2012
- 7,730
- 5,013
tatizo viongozi wengi wa upinzani tz ni mataburalasa a.k.a vilaza wao ndio kila siku wanapiga kelele kuhusu tume huru ya uchaguzi alafu haohao wanaingilia kazi za tume mara ooh muda hautoshi, mara mashine mbovu sasa hapo tume kazi yake nini au wenyewe upinzani ndio wanajua kila kitu. huyo LEMA anaenda kupiga siasa kwenye kituo cha uchaguzi anatukana watu acha wamu arrest. maeneo mengi mashine za bvr zinafanya kazi vizuri labda zizingue arachuga inamaana ni kuna watu wengi
Kumbe ww makc hauko hata Arusha afu unapiga ramli