Godbless Lema anashikiliwa na jeshi la Polisi Arusha

Godbless Lema anashikiliwa na jeshi la Polisi Arusha

Ili uandikishaji uwe sawa chuga nzima hapa mwanzo ni pa kukanyagia chini jumla piga uwa bora afe mtu na usndikishwaji ufe lkn lazima kieleweke
 
Moderator wa Jamiiforums acheni double standard, LOWASSA anashinda akitukanwa hapa kutwa kucha, lakina hatujaona Post yetote kuhusu Lowassa ikufutwa, lakini naona sasa baadhi ya comment kuhusu LEMA kuswekwa rumande zimeanza kufutwa, hii inamaanisha nini? Acheni hizo, LEMA ni Jizi tu, linafaa kufungwa mpaka January mwakani.

Acha USEngeNyaji mtoto wa Kiume wewe.
 
Last edited by a moderator:
Moderator wa Jamiiforums acheni double standard, LOWASSA anashinda akitukanwa hapa kutwa kucha, lakina hatujaona Post yetote kuhusu Lowassa ikufutwa, lakini naona sasa baadhi ya comment kuhusu LEMA kuswekwa rumande zimeanza kufutwa, hii inamaanisha nini? Acheni hizo, LEMA ni Jizi tu, linafaa kufungwa mpaka January mwakani.

Kama zangu wamefuta zote aisee!.kweli wana.double standard.
 
Last edited by a moderator:
#Lema anatafuta kuandikwa kwenye vichwa vya habari ... hana lolotee nyang'auuu
 
Lema atakuwa na matatizo ya kisaikolojia si bure.

Mi nadhani wewe Ndio unatatizo Hilo kuliko Lema. Haiwezekani Kuwa huelewi tatizo la BVR unless u r one of greatest mburulaz.
 
Back
Top Bottom