Ghosryder
JF-Expert Member
- Jul 6, 2014
- 10,707
- 4,578
Lema atakuwa na matatizo ya kisaikolojia si bure.
Jambazi maisha yake asilimia kubwa ni jela, anazitafutaga sababu akapumzike tu huko jela.
Lema atakuwa na matatizo ya kisaikolojia si bure.
Acha ushabiki wa kike wewe,Toka juzi watu wanalalama hapa hujuma tume inayofanya hapo arusha unajitoa ufahamu
Lema na kinana nani tapeli nchi hii?
Lema na sitta nani tapeli nchi hii
Lema na nape nani tapeli?
Mkuu, mbona unakuwa mkali sana kwa jambo lisilokuhusu?Mama yako nae kajisikia tu
Angalia hiyo video...
Kweli kabisa Mkuu. Na mwaka huu kazi ya Ubunge hataipata. Wana Arusha wakae mkao wa tahadhari coz jambazi atarudi mtaaniJambazi maisha yake asilimia kubwa ni jela, anazitafutaga sababu akapumzike tu huko jela.
Mkuu, mbona unakuwa mkali sana kwa jambo lisilokuhusu?
Kweli kabisa. Nasikia mtu akipata mshikaji kule na akatoka nje lazima alianzishe tena ili asimkose mshikaji wakeSasa Tumeshajua kwanini LEMA anapenda jela sana, kumbe alivyoenda mara ile, alipata "mshikaji" kule, sasa huwa akikaa uraiani anammiss sana.
Kweli kabisa Mkuu. Na mwaka huu kazi ya Ubunge hataipata. Wana Arusha wakae mkao wa tahadhari coz jambazi atarudi mtaani
Nani kakupa kibali cha kukaripia watu?Watu kama ninyi mnatakiwa kukaripiwa
Kweli kabisa MkuuKatika mibunge ambayo haina busara na mijinga Lema ni wa 100 kati ya 100.
Kama wewe ulivyo na matatizo ya maumbileLema atakuwa na matatizo ya kisaikolojia si bure.
Mbunge Lema anashikiliwa na jeshi la polisi kwa kufanya vurugu kwenye vituo vya uandikishaji. Tunawaomba polisi wamshikilie mpaka uandikishaji utakapoisha.
Kweli kabisa. Nasikia mtu akipata mshikaji kule na akatoka nje lazima alianzishe tena ili asimkose mshikaji wake
Mbunge Lema anashikiliwa na jeshi la polisi kwa kufanya vurugu kwenye vituo vya uandikishaji. Tunawaomba polisi wamshikilie mpaka uandikishaji utakapoisha.
lema anataka apelekwe gerezani kamkumbuka .........wake atakuwa hajapata kitambo.