Godbless Lema anashikiliwa na jeshi la Polisi Arusha

Godbless Lema anashikiliwa na jeshi la Polisi Arusha

kwa mkoa kama arusha kweli ccm haina chake.kwa undikishaji huu wanajitaidi watu wasipige kura ila nashukuru vijana wenzangu kwa kujiandikisha kwa kuiondoa ccm madarakani inawezekana tuu kura yako ndio muhimu
 
 
Last edited by a moderator:
Ujinga hauna shule...ni fani yako...p****v

Ndio waziri wa mambo ya ndani mtarajiwa pumbafuuu zake yan yeye ana la maana analofanya zaid ya fujo ili watu wamwone ni mzalendo arushaa badilikeni mji ukue achanenii na huyu mwehu

Tumebadilika ndio maana tukawatoa ccm tungekuwa hatujabadilika tungemuacha yule mrema wenu aliyekuwa mbunge wa arusha af anaish ulaya, haki vile nyie mnaopewa tishet za njano na kijani alafu na kofia na 5000 kweli kijana msomi unauza urithi wako kwa dengu ya ccm? Kwwli njaa ni mbaya
 
Ivi askari polisi kwenda kuandikisha wapiga kura ndo ndo sheria ya tume ya uandikishwaji wa kupiga kura? Hahaa policcm
 
Usisahau kumwaga yako kwanza, chama kinaondoka bila kumwaga damu sema Lema anatafuta kick za uchaguzi ndio tabia yake na kukamatwa anapenda ili to make headlines. Nchi inamikoa mingapi mpaka akamatwe yeye tu!

Chama tawal hakiwezi kuondoka kirahisi. Lazima damu imwagike kama baadhi ya nchi walivyomwaga damu kuuondoa ukoloni
 
Wakuu ishu iko hivi lema alikwenda kwenye kituo cha uandikishwaji kura,baada yakuambiwa na baadhi ya Waandikishwaji kwamba tumezuiwa kujiandikisha mpaka waliotangulia waishe.lema baada yakupata habari hizo alikwenda nakuuliza vp?akajibiwa,kunawalioandika majina yao jana jioni baada ya muda wauwandikishaji kuisha kwahiyo ndo tunaanza nao siku ya kesho kwy aliekuja nae aliambiwa mpaka tumalize hawa wa jana.hofu iliopo na sintofaham kwa lema ni je hayo majina hayatokuwa na uchakachuaji?wakaandikishwa watu wa ccm tu?mziki ndo umeanzia hapo
 
Mungu tusaidie watanzania. . tubadirike wote tuichukie. .ccm mwaka huu wanavyo. Tumia mbinu chafu kuwa bana wapinzani mmh haya mungu walaani wote wenye nia mbaya na wapenzani wafe kwa presha wote kabla ya uchaguzi October amen

Tuichukie ccm kwa nini? Au kwa kuwa imetuletea uhuru chini ya Mwal Nyerere na sasa Padri katoka kwa wazungu kuwaramba miguu ili wampe nguvu alete wakoloni tena?
 
Mara nyingi Ccm wamesababisha umwagaji damu kama Mwangosi na wengine wengi
 
Lema ni mwanaume wa shoka. CCM wanamhanya mbaya, kila wakipanga kuchakachua analisanua!
 
Sawa na ya kwako

Alivyo mpuuzi anajipelekesha kwa polisi ili wananchi wasio na uelewa wamuonee huruma na kumpa kura...

Afanye kazi tukiziona anapewa kura za halali....akishindwa tugeuze kisahani
 
Ilikua lazima akamatwe, hana ujanja zaidi ya vurugu ili aonekane anajali, nilikua nasubiri mda mrefu sana kusikia fujo zake, hatimae kazifanya, sasa roho yake kwatu, na mkichwa umevimba kwa misifa, yeye kamanda
 
Mbunge Lema anashikiliwa na jeshi la polisi kwa kufanya vurugu kwenye vituo vya uandikishaji. Tunawaomba polisi wamshikilie mpaka uandikishaji utakapoisha.


Kumbe mpango mzima wa kumkamata Lema ulikuwa kufanikisha hili.


Uandikishaji Wapigakura wageuzwa Biashara, kupata kadi sasa bei ya hadi Sh 30,000
Fikra Pevu | June, 24th 2015 http://www.fikrapevu.com/uandikisha...upata-kadi-sasa-bei-ya-hadi-sh-30000/#respond

UANDIKISHAJI wa Wapigakura katika Mkoa wa Arusha kwa mfumo wa mashine za BVR, umeingia sura mpya baada ya baadhi ya vijana mkoani humo kuligeuza zoezi zima la uandikishaji wa wananchi katika Daftari la Kudumu...
 
Back
Top Bottom