Yupo salaama mikononi mwa Mungu.Wasije wakatuulia mama yetu bado mpya aisee!! Hivi TISS mnajielewa kweli? Kwa nini mnamwachia mama Samia anadhurura na huo mwenge bila kuvaa Barakoa? Mtampoteza huyu mama aiseee!!
Simbachawene alikua uwanjani jana...Uwanja wa Uhuru
Acha awapukutishe kma wao walivyopukutisha watu,tenaKaandiki hivi kupitia twitter ambapo pia ameambatanisha picha ya Simbachaweni katika tweet yake hiyo:
Yuko wapi Waziri Simbachawene? Vaeni Barakoa. Jilendeni na corona. Mtaisha mkifanya mzaha.
Chadema kweli mumeishiwa hoja mnaishi kwa majungu tu, mnafurahia ujinga, mbona hamumulizi Mbowe kuwa yuko wapi wakati haonekani kwa muda mrefu? je yey mwenyewe Lema hatujamuona muda mrefu nani anamuuliza yaani Chadema mumekuwa watu wa kuuliza eti mtu fulani yuko wapi ni kila siku mnauliza watu kama si ujinga ni nini sasa, Chadema mumekuwa watu wa kufurahia watu wakiuugua utadhani nyie hataugua au kufa.Kaandiki hivi kupitia twitter ambapo pia ameambatanisha picha ya Simbachaweni katika tweet yake hiyo:
Yuko wapi Waziri Simbachawene? Vaeni Barakoa. Jilendeni na corona. Mtaisha mkifanya mzaha.
Noma Sana.Acha awapukutishe kma wao walivyopukutisha watu,tena
Wadanganye! Umemwona Jaffo?Yupo salaama mikononi mwa Mungu.
Wataka awe salaama mikononi mwa barakoa??
WoteMara mkigoma, Mara mgogo, Mara mmtwara. Yupi Ni yupi.
Amin amin nawaambia, DAMU idiyokuwa na hatia ya Mh Lissu iliyomwagwa kwenye Makao Makuu ya Nchi HAKIKA itawamaliza.Chadema kweli mumeishiwa hoja mnaishi kwa majungu tu, mnafurahia ujinga, mbona hamumulizi Mbowe kuwa yuko wapi wakati haonekani kwa muda mrefu? je yey mwenyewe Lema hatujamuona muda mrefu nani anamuuliza yaani Chadema mumekuwa watu wa kuuliza eti mtu fulani yuko wapi ni kila siku mnauliza watu kama si ujinga ni nini sasa, Chadema mumekuwa watu wa kufurahia watu wakiuugua utadhani nyie hataugua au kufa.
Siyo February tena??Nchimbi
Wewe unavaa?... hata kama tatizo halikuathiri wewe uungwana ni kumkinga mwingine; huo ndio ubinadamu. Vaa kinga kwa ajili ya wengine!
Itakuwa kajiweka karantiniSimbachawene alikuwa anazunguka na Magufuli kwenye ile ziara ya mwisho
Waziri wa nchi ofisi ya Rais....Ivi Jenister Mhagama ni nani kwenye huu msiba wakuu?
Kila kona yupo, kila location yupo anaonekana kuliko mawaziri wengine kwani yuko kamati ya mapokezi au vipi
Ulikuwepo?Hata Hitler alitia hofu kubwa sana kwa wananchi wake
Mtwara iko salama tafuteni kwingineMara mkigoma, Mara mgogo, Mara mmtwara. Yupi Ni yupi.
Duh!!!!Amin amin nawaambia, DAMU idiyokuwa na hatia ya Mh Lissu iliyomwagwa kwenye Makao Makuu ya Nchi HAKIKA itawamaliza.
Badala ya kuendeleza kejeli kwa Mh Lissu tafuteni Wazee wenye Hekima wakiwemo Viongozi wa Dini kufanya upatanisho na Mh Lissu. Endeleeni kushupaza shingo zenu na hakika zitavunjika.
Acha uogoYaani watakwisha