Elungata
JF-Expert Member
- Jan 28, 2011
- 40,343
- 33,503
jk aliwavumilia akidhani mtakuwa reasonable,lakini badala yake mkamuona dhaifu,akawasetia rais mkali,akawarekebishia na ile sheria ya mtandao ili iende sawa na utawala wa rais mkali.Kwa hiyo hiki ndicho ambacho wapinzani wamesema wanamiss Mhe. Rais Mtaafu?Wewe na nani hamuhitaji?unawakilisha maneno ya nani unaposemu hatuhitaji?
Hebu mtukaneni Magufuli tuone kama baada ya wiki hatujasikia umeenda mahakamani,
ule uzushi wa kijinga kama sijui jk kaenda china saa tano usiku akarudi dar saa kumi na mbili asubuhi,sasa ni marufuku