Godbles Lema video: Nimemmis sana Kikwete

Godbles Lema video: Nimemmis sana Kikwete

Wanaukumbi.

Jana nimemsikiliza Lema akichangia bungeni kuwa kammiss Rais Kikwete aliyemaliza muda wake.

Wakati wa utawala wa JK hawa hawa Chadema walisema JK ni rais dhaifu leo tena wanasema wamemmiss daah!

Ilifikia wakati Chadema wakatoa tamko kuwa watampeleka JK ICC kulikoni leo Lema na Msigwa mmemiss JK.

Dua lenu limekubaliwa rais JK dhaifu kaondoka kaja Rais Magufuli pambaneni naye JK hagombei tena urais.

View attachment 348359

View attachment 348360
Amemiss katika suala gani?mbona unazunguka zunguka?Amesema amemiss katika nini?Usiongee juu juu wewe ni GT amemiss katika nini?Je hiyo picha inaendana na aliyosema Lema jana?Je wamemiss in what aspect?Tuache uvivu wa kufikiria na kuandika au ndio tunataka kuongeza points na sisi tuonekane tupo JF muda mrefu na tuweka nyuzi?
 
Ni ukweli usio pingika kuwa JK alikuwa n Bonge la Rais na alikuwa mvumilivu sana, Hawa UKAWA watamkumbuka sana JK,walisha tuambia nchi Ipo auto pilot sasa wanalia kama watoto wadogo,kweli wanaisoma namba
Wanaisoma namba katika lipi?
 
Na bado watammiss sana, HA HA HA HA HA, Mungu mkubwa na atamlipia mbaba wa watu alivyokuwa akidhalilishwa na matusi na watoto wadogo anaoweza kuwazaa ati kisa siasa, hata wazee watu wazima ambao tuliwaheshimu kama kina slaa nao walithubutu kumtaja mpaka mama yake, NAFURAHI SANA WANAVYONYOOSHWA NA MAGUFULI, Haya rais mkali mnae endelezeni kudeka awanyooshe, ha ha ha ha ha. HONGERA JK, HONGERA MAGUFULI.
Daa yaani mnatia huruma sana, hivi Slaa hakutukanwa?sasa wapinzani wanakoma nini?tunaokoma ni mimi na wewe , maana wewe na mimi hatuna kitu na wale wanaweza wakakaa kimya Bungeni na hawana cha kupoteza, wewe mwenzangu na mimi huyo mwenzako ameandika wanamiss JK in what aspect ameenda mbali akaweka picha ya chai kujua kuna majua ambao hata bila kuangalia contents mnajua anamisiwa eti sababu ya chai?Na kweli amewapata wengi sana
 
Alipokuwa anamkaribisha pale Lumumba baada kuchukua fomu, JK aliwaambia umma, " tumekuleteeni chuma hiki, kimeanza kutema cheche kabla hakijaanza kazi, kuna wakati walisema mimi mpole wanata mtu mkali, huyu hapa mkali, tena mkali kweli kweli"
ha ha ha,wakweba...?.aaah aah wakweba..

NI KAZI TU...
 
Wanaukumbi.

Jana nimemsikiliza Lema akichangia bungeni kuwa kammiss Rais Kikwete aliyemaliza muda wake.

Wakati wa utawala wa JK hawa hawa Chadema walisema JK ni rais dhaifu leo tena wanasema wamemmiss daah!

Ilifikia wakati Chadema wakatoa tamko kuwa watampeleka JK ICC kulikoni leo Lema na Msigwa mmemiss JK.

Dua lenu limekubaliwa rais JK dhaifu kaondoka kaja Rais Magufuli pambaneni naye JK hagombei tena urais.

View attachment 348359

View attachment 348360
Magufuli naye ni dhaifu tu tena yeye kamzidi kikwete, ndio maana watu wanaona bora udhaifu wa kikwete kuliko magufuli. Afadhali kikwete anajiamini kidogo, nafikiri kupitia jeshini kulimsaidia
 
Naona kama mnafarijiana, hiyo kauli ya tunamiss sio kwamba inasimama hivyo hivyo wakati wote bali inategemea na muktadha wa mtu anachokiongea kwa muda huo. Kwani ni mara ngapi bado watu wameendelea kuonyesha jinsi nchi hii iiikuwa imeoza. Mnazungumza hivyo kana kwamba ndio homa kabisa watu wamepata baada ya JK kuondoka.
Hawezi kukujibu hili atawajibu wafuata mkumbo wenzake, he is smart amewaingiza wenzake mkenge, wanajuana wenyewe uwezo wao wa kufikiri now utaona wanavyojibizana
 
Alipokuwa anamkaribisha pale Lumumba baada kuchukua fomu, JK aliwaambia umma, " tumekuleteeni chuma hiki, kimeanza kutema cheche kabla hakijaanza kazi, kuna wakati walisema mimi mpole wanata mtu mkali, huyu hapa mkali, tena mkali kweli kweli"
Kwani Bunge linasimamiwa na kuongoza na Mhe. Rais Mkuu?Kwa hiyo Bunge nao linaongozwa na Rais?mbona sielewi?
 
Daa yaani mnatia huruma sana, hivi Slaa hakutukanwa?sasa wapinzani wanakoma nini?tunaokoma ni mimi na wewe , maana wewe na mimi hatuna kitu na wale wanaweza wakakaa kimya Bungeni na hawana cha kupoteza, wewe mwenzangu na mimi huyo mwenzako ameandika wanamiss JK in what aspect ameenda mbali akaweka picha ya chai kujua kuna majua ambao hata bila kuangalia contents mnajua anamisiwa eti sababu ya chai?Na kweli amewapata wengi sana
hata wakae kimya,si neno,Magufuli atarekebisha kila kitu,ha ha ha.
We unadhani kwanini anakaba kona zote?.
Hatuhitaji bunge la kuonyesha ufundi wa kutukana na kupigana kareti
 
hata wakae kimya,si neno,Magufuli atarekebisha kila kitu,ha ha ha.
We unadhani kwanini anakaba kona zote?.
Hatuhitaji bunge la kuonyesha ufundi wa kutukana na kupigana kareti
Hotuba ya Lema ilikuwa na matusi yapi?
 
Hahaha, yaani nyie buku saba hamjangamua kwambs kina Lema na Msigwa wanaongea kwa dhihaka? Eti Kikwete alikuwa bonge la rais. Vipi tena nyie wenyewe mkiongozwa na Magu mnasems Kikwete kaifanya hii nchi shamba la bibi? Hujamsikia Magu akirudia mara kwa mara kuwa mambo ya hovyo sana yamekuwa yakifanyika jumo serikalini?

Kina Lema wansmzungia Kikwete katika aspect ya kuvumilia ukosoaji ambao inakosekana utawala huu. Hakubana uhuru wa watu kukosoa km ilivyo sasa kws Awamu hii. Lskini ni ukweli udiopingika kwamba alikuwa dhaifu ktk kukemea rushws na ufissadi. Alikuwa mzito sans kuchukua hatua. Aliwatetea wezi wa Epa na Escrow. Kwa hiyo Kikwete kuruhusu ukosoaji bila hofu hakubsdili ukweli kwamba alikuwa dhaifu sana kiutendaji na usimamizi wa serikali!
 
Hatuhitaji bunge la kuonyesha ufundi wa kutukana na kupigana karet
Kwa hiyo hiki ndicho ambacho wapinzani wamesema wanamiss Mhe. Rais Mtaafu?Wewe na nani hamuhitaji?unawakilisha maneno ya nani unaposemu hatuhitaji?
 
Kina Lema wansmzungia Kikwete katika aspect ya kuvumilia ukosoaji ambao inakosekana utawala huu. Hakubana uhuru wa watu kukosoa km ilivyo sasa kws Awamu hii. Lskini ni ukweli udiopingika kwamba alikuwa dhaifu ktk kukemea rushws na ufissadi. Alikuwa mzito sans kuchukua hatua. Aliwatetea wezi wa Epa na Escrow. Kwa hiyo Kikwete kuruhusu ukosoaji bila hofu hakubsdili ukweli kwamba alikuwa dhaifu sana kiutendaji na usimamizi wa serikali!
Mtoa uzi anaijua audiance yake inavyofikiria na ndio maana akawawekea na picha ya chai anajua wakija hawatajadili Mhe. Lema walisema wanamiss Mh. Rais mtaafu in what aspect na wameingia kichwa kichwa main focus ikiwa ni ile chai
 
Pro-Chadema JF wanamuita mswahili asiyeweza kuongoza mnywa kahawa wa Pwani.
Ah ah ah ah ah chadema hawaishiwi sababu mkuu....niliacha kuwaamin toka waanze kudeal na lowasa hata kama siasa sijui..ilikuwa ngumu sana kumeza
 
Hawa jamaa ni wanafiki sn!!;walishawahi kutaka kukusanya signature ili wampigie kura ya kutokuwa na imani nae!!;leo wamemmiss fyuuuuu!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom