geniusbaraka
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 795
- 155
Sasa huyo mjomba ako..kazaliwa juzi et anapinga...sasa anataka ushahid wa picha vidoe..au nn..mana watu huwa hawajui nn wanataka...Kama ilivyovigumu kwa computer yako kukufikiri na kujua mawazo yako,ndivyo ilivyokwako kumfikiri Mungu na kujua Mawazo yake. Kama ulizaliwa mwaka mfano : 1990 June,huwezikujua yaliyokuwepo kabla yake hata ukifikirije Bali aliyekuwepo kabla ndiye awezaye kukuhabalisha.