God was created when the first con-man met the first fool

God was created when the first con-man met the first fool

Jibu swali niliokuuliza?

Unauliza au unatoa kauli?

Swali haliwezi kujibiwa kama halijaeleweka.

Nakuuliza maswali nielewe unauliza nini ili nikujibu vizuri.

Wewe mwenyewe unalielewa swali lako?

Mbona kama unashindwa kunielezea unachouliza ni nini?
 
Unaamini wanga wapo?
Unauliza au unatoa kauli?

Swali haliwezi kujibiwa kama halijaeleweka.

Nakuuliza maswali nielewe unauliza nini ili nikujibu vizuri.

Wewe mwenyewe unalielewa swali lako?

Mbona kama unashindwa kunielezea unachouliza ni nini?
Kukwepa maswali yanayo onyesha udhaifu wa hoja zako ni kawaida yako.
Jibu swali we kiranga.
Umeulizwa unaamini Wanga wapo?
Unafahamu wazi kabisa kuwa wanga ni jamii ya WACHAWI sasa acha utoto .

Na mimi nakuongezea .

Kifo ni nini? Au Roho ni nini.
Na kwanini LAZIMA viumbe WAFE ?
Na ukiambiwa mtu KAFA kifo cha kawaida(Natural Death) nini hasa kilichokufa hapo?
Jibu maswali km wewe ni Atheist anaejitambua.
 
Yesu gani?

Brian deaocon?

Kama ndiye yule aliyevaa kichupi yuko msalabani namjua, tofauti na hapo kuna hitajika maelezo ya kina ili nikuelewe
yule ni muigizaj naongelea yesu mwenyewe.. je unaamini aliwai kuwako?
 
Sar issac hakua mwanasayansi pekee
kijana..na hizi takwimu zako unazitoa wapi kua aliamini katika huyu mungu wenu
si ukasome..kwan unapokua unaweza kusoma low of motion.. si unakua umesoma..sasa nenda kasome na biograghy yake..afu uje hapa
 
Kukwepa maswali yanayo onyesha udhaifu wa hoja zako ni kawaida yako.
Jibu swali we kiranga.
Umeulizwa unaamini Wanga wapo?
Unafahamu wazi kabisa kuwa wanga ni jamii ya WACHAWI sasa acha utoto .

Na mimi nakuongezea .

Kifo ni nini? Au Roho ni nini.
Na kwanini LAZIMA viumbe WAFE ?
Na ukiambiwa mtu KAFA kifo cha kawaida(Natural Death) nini hasa kilichokufa hapo?
Jibu maswali km wewe ni Atheist anaejitambua.
Kiranga huwa anakuogopa sijui kwani?
 
Unauliza au unatoa kauli?

Swali haliwezi kujibiwa kama halijaeleweka.

Nakuuliza maswali nielewe unauliza nini ili nikujibu vizuri.

Wewe mwenyewe unalielewa swali lako?

Mbona kama unashindwa kunielezea unachouliza ni nini?
Mi nimekuuliza swali kabla wewe kujibu umeuliza swali, mjadala Kama huo ni mgumu mkuu
 
Mi nimekuuliza swali kabla wewe kujibu umeuliza swali, mjadala Kama huo ni mgumu mkuu
Hujauliza swali.

Umeshindwa kuuliza swali.

Hata swali lako mwenyewe hulijui.

Ndiyo maana nilipokuomba ufafanuzi, umeshindwa kulifafanua.

Kama sivyo, fafanua swali lako kwa mujibu wa nilivyolihoji.
 
Hujauliza swali.

Umeshindwa kuuliza swali.

Hata swali lako mwenyewe hulijui.

Ndiyo maana nilipokuomba ufafanuzi, umeshindwa kulifafanua.

Kama sivyo, fafanua swali lako kwa mujibu wa nilivyolihoji.
Unaamini wanga wapo?
 
wanasayans wakubwa kama sir isac newotn wakin plancks wanaamini kuna Mungu ..sasa kuna walevi wametoka wapi sijui et wana pinga.... ngoja nikuulize swali unaamini yesu aliishi hapa duniani??/
Kwani wao akina nani?
Kuhusu yesu kuishi kwake duniani sio swala imani,ni suala la ushahidi kama aliishi duniani
Tuna ushahidi kuwa aristotle,plato,alexander the barbarian waliishi duniani lakini hakuna ushahidi wa yesu wa nazareth kuishi duniani...it's a bad written fraud of all time
 
Ikowazi wanajua mungu hayupo ila wanajitoa ufahamu tu laiti mungu angekuwepo kusingekuwa na mabaya duniani
Ukiwauliza mmejuaje kama kuna mungu wanapepesa macho hawana majibu
Mungu gani huyo amekuwa kama sanamu hana anachokijua ktk ulimwengu
Hakuna aliyewahi kumuona huyo Mungu na hakuna aliyemtafuta huyo Mungu na kuja na majibu kuwa hayupo,sasa nikuulize nini kinachokufanya useme Mungu angekuwepo kusingekuwa na mabaya?
 
yaan mnakubali habali za galileo na isac newton af unakataa yesu alikuwako... jaribu kutafuta source zingine nje na biblia uone zinasema nn kuhusu yesu ...af uje
Wapi nilikuambia namkubali galileo?

Unabahatisha?
 
Kiranga huwa anakuogopa sijui kwani?
Sababu ni ndogo tu.

Majibu yake yote anategemea Google
Sasa kuna maswali nyeti ukiuliza Google unapewa Majibu mengi mno yenye hitilafu.
Na kila jibu linatofautiana na lingine
.
Mfano KIFO.

Google imetoa majibu zaidi ya 200 kuhusu NINI KIFO. na kila moja ni Tofauti na lingine.

Huo ni mfano mmoja tu. Sasa kiranga akikutana na swali kama hilo lzm ajifanye hakuona au aongee kashfa na kukwepa swali.

Labda muulize wewe huenda akakujibu.
Labda kifo ni swali Gumu sana. Labda nijaribu jepesi kidogo.

Muulize .

Kila kitu hapa Duniani kina SABABU YA KUWEPO. Mfano.

Jamii forum iko hapa KWA SABABU MAALUM.

Hio PC au Mobile phone tunazotumia hapa zina SABABU YA KUWEPO.

Hata Hizo kalamu madaftari Mchele Gari hata toilet paper ZINA SABABU MAALUM YA KUWEPO HAPA.

Muulize JE! BINAADAMU ANA SABABU GANI MAALUM YA KUWEPO HAPA DUNIANI?
Je ni kula kuzaana kisha kufa?
Au kujenga uchumi wa viwanda kama muheshimiwa anavyosema?
Au kukutana hapa JF kubishana habari Za Mungu?

KWANINI BINAADAMU YUKO HAPA DUNIANI?
Niulizie hill swali kwa Yyt asiekubali MUNGU kuwa YUPO.
 
Even the scientists failed to find the source of "gravity" therefore there must be the first cause known as God. Faith starts where the reason ends
Nani kashindwa kutambua the source of gavity?
 
Nani kashindwa kutambua the source of gavity?
Siku zote hutoa angalizo kuwa kabla hujauliza swali FIKIRI KWANZA hicho unachotaka kuuliza!![emoji2959]
Not a SINGLE Scientist knows where is the Source of Gravity came from.!

Hakuna mwana Sayansi YOYOTE DUNIANI mwenye kujua CHANZO CHA SOURCE OF GRAVITY
Na kama yupo mtaje hapa na weka hio ripoti yake .
 
Ikowazi wanajua mungu hayupo ila wanajitoa ufahamu tu laiti mungu angekuwepo kusingekuwa na mabaya duniani
Ukiwauliza mmejuaje kama kuna mungu wanapepesa macho hawana majibu

Mungu gani huyo amekuwa kama sanamu hana anachokijua ktk ulimwengu
Kubaka,kuiba, kula Mali ya ummah, kunywa Viroba, uzembe, wizi , ujambazi zinaa ovyo na kula vya Dhulma vyote mfanye nyie kisha mumlaumu Mungu .

Hata Mtoto akiharibu hutafuta sababu ingine
 
Kubaka,kuiba, kula Mali ya ummah, kunywa Viroba, uzembe, wizi , ujambazi zinaa ovyo na kula vya Dhulma vyote mfanye nyie kisha mumlaumu Mungu .

Hata Mtoto akiharibu hutafuta sababu ingine
Kwanini Mungu atuumbe na tamaa..? Mimi ukinetega shehe nanasa huwezi juta ulichothubutu
 
Sio kwamba Mungu hayupo, hata wewe pia ni Mungu. Shida inakuja vile tunavyomchukulia huyu Mungu sijui kumwabudu, kumsifu kumtolea sadaka n.k hapa ndipo tulipologwa na wazungu. Hakuna Mungu wa aina hiyo Mungu ni Mimi na wewe yaani sisi ni Mungu.
We mtoto unaelewa maana ya neno MUNGU?
Au Unaropoka tu.
Yaani wewe ghafla umeshakuwa mungu!
Teh teh teh teh.

Mnakatazwa kupiga Viroba lkn ubishi tu.
Matokeo yake ndio haya.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom