God was created when the first con-man met the first fool

God was created when the first con-man met the first fool

Anayefura kati yangu na wewe ni nani?

Kuita Maandiko upuuzi, kunaonesha akili zako zilivyo!

Ungekuwa una-experience ya mambo ya kidini na uponyaji ungeelewa kwanini nimezungumzia Uhai.

Tatizo, huna.

Dini na Uponyaji...?!!?

Wafia dini akili zenu kwann hamkai nazo mmewakabidhi matapeli/wachunga/manabii fake ma mbumbumbu..

Wewe dini imewahi kukuponya kivipi..?!? au ni illusination zako tuu, Dini ni chama cha siasa au cha ushirika, NGO....tokea lini unaponywa na Ltd..ukiumwa nenda hospitali sio hawa wapiga deal
 
Tafiti zooote zilizofaywa wameshindwa kusema hata sisimizi katokea wapi??..maana swala binadamu kubwa kidogo
Ndio maana tunajiuliza kwakufanya tafiti tupate majibu..
Nasio uvivu wa kusema majibu anayo mungu..ambae haexist
 
Kama ungekua na imani ndogo kama chembe ya haladali ungeweza amisha milima
Dini na Uponyaji...?!!?

Wafia dini akili zenu kwann hamkai nazo mmewakabidhi matapeli/wachunga/manabii fake ma mbumbumbu..

Wewe dini imewahi kukuponya kivipi..?!? au ni illusination zako tuu, Dini ni chama cha siasa au cha ushirika, NGO....tokea lini unaponywa na Ltd..ukiumwa nenda hospitali sio hawa wapiga deal
 
Dini na Uponyaji...?!!?

Wafia dini akili zenu kwann hamkai nazo mmewakabidhi matapeli/wachunga/manabii fake ma mbumbumbu..

Wewe dini imewahi kukuponya kivipi..?!? au ni illusination zako tuu, Dini ni chama cha siasa au cha ushirika, NGO....tokea lini unaponywa na Ltd..ukiumwa nenda hospitali sio hawa wapiga deal
Unaona sasa ulivyo na akili sisimizi!!??

Kuna mahala nimekwambia dini inaponya?
 
Kama ungekua na imani ndogo kama chembe ya haladali ungeweza amisha milima

Mawazo ya wavivu haya..hahahaa
Uamishe mlima upeleke wapi, wakati hapo ulipo ndipo sahihi
Makanisa yanawajaza ujinga sanaa
 
Ndio maana tunajiuliza kwakufanya tafiti tupate majibu..
Nasio uvivu wa kusema majibu anayo mungu..ambae haexist
Kwani kuhusu Mungu kuwa haexist ni matokeo ya utafiti au ni misimamo tu ya watu kama ilivyo misimamo ya kuwa Mungu yupo?
 
Dini na Uponyaji...?!!?
Wafia dini akili zenu kwann hamkai nazo mmewakabidhi matapeli/wachunga/manabii fake ma mbumbumbu..
Wewe dini imewahi kukuponya kivipi..?!? au ni illusination zako tuu, Dini ni chama cha siasa au cha ushirika, NGO....tokea lini unaponywa na Ltd..ukiumwa nenda hospitali sio hawa wapiga deal
Ila mkuu kiuhalisia sio kila maradhi wanayopata watu uenda kutibiwa hospitali.
 
Unapo pata ugonjwa nenda hospitali..
Ujinga utakuua, Dini haitakaa ikuponye kamwe..
tumia akili angalau 1%
Ujinga utakuuwa wewe uliyemjinga, unayeamini magonjwa yametokeza tu!

Umeambiwa kuna Ukimwi na huelewi umeanzajeanzaje! Ukishaambiwa unaenda kubugia ARVs.

Umeambiwa kuna Ebola na hujui nini kiko nyuma ya pazia.

Tumia akili angalau 0.0000001%.
 
Even the scientists failed to find the source of "gravity" therefore there must be the first cause known as God. Faith starts where the reason ends
Kwahio mkuu Mungu wako ni mungu wa vitu visivyojulikana ( god of the unknown)
Kwamba mungu anakuwepo sehemu yenye gap ya knowledge..

Sehemu ambapo vitu tunaweza kutengeneza na kuexplain hakuna mungu[emoji23][emoji23]
 
Hao hapo Einstein Newton wako...
Hizi ni quotes za wasabato wamewalisha wanasayansi..
Tafuta kitabu chochote cha hao watu au gazeti lolote ambalo hao watu wamesema hicho ulichokipost..

Jibu ni kwamba hutapata kitabu wala gazeti lolote credible lililoandika hayo mambo..

Na muache tabia ya kuwalisha maneneo marehemu waliokufa ambao hawawezi kuwajibu wala kuwapinga
 
Hizi ni quotes za wasabato wamewalisha wanasayansi..
Tafuta kitabu chochote cha hao watu au gazeti lolote ambalo hao watu wamesema hicho ulichokipost..

Jibu ni kwamba hutapata kitabu wala gazeti lolote credible lililoandika hayo mambo..

Na muache tabia ya kuwalisha maneneo marehemu waliokufa ambao hawawezi kuwajibu wala kuwapinga

Newton alifanya kazi nyingi zaidi kuhusu Dini kuliko Science, nenda kamsome vizuri.

Atleast, Einstein alikuwa na maoni tofauti tofauti Dini kulingana na muda.
 
Ngoja nikwambie jambo, watafute wale wasanii wakubwa wa secular music uwaulize kuhusu Mungu, hapo utapata kitu.
Sihitaji kuambiwa na mtu kuhusu huyo Mungu, mmbo ya Mungu nilishafikia conclusion yake miaka 10 iliyopita, imebaki kazi ya kuwapeleka shule watu kama nyie
 
Mawazo ya wavivu haya..hahahaa
Uamishe mlima upeleke wapi, wakati hapo ulipo ndipo sahihi
Makanisa yanawajaza ujinga sanaa
Hahahaha we jamaa bhana...

Ivi hata unasomaga hata maandiko??

Au ww huna iman yeyote??

Mana yawezekana hujamjua huyu YESU..
 
Sihitaji kuambiwa na mtu kuhusu huyo Mungu, mmbo ya Mungu nilishafikia conclusion yake miaka 10 iliyopita, imebaki kazi ya kuwapeleka shule watu kama nyie

Upeleke shule ukoo wako na familia yako, Mimi huwezi niambia kitu asee.

Nimeona uchawi kwa macho yangu mwenyewe (sio mazingaombwe) nimethibitisha watu walioponywa kwa miujiza.

Nimeshuhudia mengi sana so huna cha kunifundisha kuhusu Mungu, hata kama Bible itakuwa na sijui mnaita nini...!

Sababu ya msingi IPO kuhusu kwanini nilikwambia uwatafute wasanii.

Btw, let's end here...!
 
Upeleke shule ukoo wako na familia yako, Mimi huwezi niambia kitu asee.

Nimeona uchawi kwa macho yangu mwenyewe (sio mazingaombwe) nimethibitisha watu walioponywa kwa miujiza.

Nimeshuhudia mengi sana so huna cha kunifundisha kuhusu Mungu, hata kama Bible itakuwa na sijui mnaita nini...!

Sababu ya msingi IPO kuhusu kwanini nilikwambia uwatafute wasanii.

Btw, let's end here...!
Mungu angekuwepo kama vitabu vinavyosema hata huu mjadala usingekuwepo hapa,
 
Ujinga utakuuwa wewe uliyemjinga, unayeamini magonjwa yametokeza tu!

Umeambiwa kuna Ukimwi na huelewi umeanzajeanzaje! Ukishaambiwa unaenda kubugia ARVs.

Umeambiwa kuna Ebola na hujui nini kiko nyuma ya pazia.

Tumia akili angalau 0.0000001%.

Nenda kalale na Biblia uone kama utapona huo ukimwi..Na bora watu wenye ukimwi wanaonekana
Si huyu yesu wenu mnaomsubiria atue kutoka mawinguni kama mvua
 
Hahahaha we jamaa bhana...

Ivi hata unasomaga hata maandiko??

Au ww huna iman yeyote??

Mana yawezekana hujamjua huyu YESU..

Wewe mweusi mwenzangu unamjulia wapi yesu..Wayaudi wenyewe hawamtambui..

Mmelishwa ujinga na nyinyi mnakesha mnaomba kwa jina la kitu kisicho exist. Utumwa wa dini unawalemaza na kuwajaza ujinga
 
Hizi ni dalili za ugonjwa uitwao kubabaika!
Watu wenye ukimwi wanaonekana? Eti ee?
Nenda kalale na Biblia uone kama utapona huo ukimwi..Na bora watu wenye ukimwi wanaonekana
Si huyu yesu wenu mnaomsubiria atue kutoka mawinguni kama mvua
 
Nitaendelea kuamini Mungu yupo hata Kama hayupo maana sipungukiwi na chochote.
Kupungukiwa kupo Mkuu,

Maana Kuna vitu unajinyima ukiamini ni "Dhambi" kwamba utakua punished end of World kumbe ni imagination tu kama ulivyosema kaka.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom