yaani na maphd yenu hamtaweza kufanya mambo hata nusu walofanya hao wazazi wa std 4 mkuu.acha kabisa. mke au mume sio degreeMama yangu STD 7 lakini yupo fiti very smart nadhani angesoma angemfunika mzee mbaya angepitiliza hadi PHD
ha haaaa...... hujasoma ile degree haitunzi mume?
utapata tu best, siku siyo nyingi......
mi mwenyewe niliolewa sina hata degree, useme tu husband aliamua kunipeleka memkwa ndo sasa angalau ninayo....
usiwashangae wanaume tu.....
umewahi ona sisi wadada tunapopata watoto wetu hao wa digital hatuamini hata mama zetu kuwa wataweza kuwaogesha?
Hii nimeipenda, mimi mama yangu kaishia vidudu, baba yangu kafariki nina miaka 18, watoto wote tumeendelezwa mpaka hapa tulipofikia, na mama yetu mpaka muda huu mimi ninae na sasa ana miaka 76, itabidi tukamfukue baba tumuulize aliishi nae vipi mpaka akatufikisha hapa tulipo!!!!! kweli waswahili walisema '' masikini akipata ------ hulia mbwata'', nakuomba sana usidharau , usijidanganye na pesa za kuiba hizo ukajiona bonge la mjanja!!!!!!!!!!!
yaani na maphd yenu hamtaweza kufanya mambo hata nusu walofanya hao wazazi wa std 4 mkuu.acha kabisa. mke au mume sio degree
kitu cha ukweli hiki kaka.shukrani sana umeifanya jioni yangu iwe tamu super mbebs wangu!
i mean kwamba wazazi wetu pamoja na elimu zao ndogo walitulea vemaSijakuelewa madame
bora huyo hamwamini mama mkwe, kuna ambao hawaamini mama zao..... wapo local eti, lol!yaani unakuta mdad kaolewa na kijana wa watu msomi hataki hata kuongea au kuwaacha watoto kwa bibi yao. eti bibi yupo local local wakati kakuzalia mume smart? mtoto wa nyoka si nyoka jamani?
Hii nimeipenda, mimi mama yangu kaishia vidudu, baba yangu kafariki nina miaka 18, watoto wote tumeendelezwa mpaka hapa tulipofikia, na mama yetu mpaka muda huu mimi ninae na sasa ana miaka 76, itabidi tukamfukue baba tumuulize aliishi nae vipi mpaka akatufikisha hapa tulipo!!!!! kweli waswahili walisema '' masikini akipata ------ hulia mbwata'', nakuomba sana usidharau , usijidanganye na pesa za kuiba hizo ukajiona bonge la mjanja!!!!!!!!!!!