OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 3,642
- 9,222
Wakuu habari
Global alliance wamepanga ktk jengo la NSSF umbali wa mita 100 kutoka yalipo makao makuu ya manispaa
Vijana wengi kutoka Wilaya zinazopakana na Kahama wenye umri kati ya miaka 16 hadi 29 wamekuwa wakitolewa maeneo mbali mbali na kupelekwa kahama kisha kupangishiwa chumba, chumba wanakaa wanne wanne, kisha kutozwa ada ya laki sita kila mmoja
Mwisho wa siku wanaacha baada ya kupigwa kilo 6 wanabaki mtaani wanalanda landa wengine wanaishia kupigwa mimba wengine wanageuka kuwa vibaka
Vijana wanaoletwa kwa wingi ni kutoka Tabora, Nzega, Kaliua, Masumbwe, Runzewe, Ushetu n.k wanaletwa kwa gia ya kushawishiwa kuwa matajiri
Ukikutana nao asubuhi utasema ni wanachuo au wafanyakazi, ukiwauliza wanafanya kazi gani wanakujibu ni wafanya biashara wa alliance
Hii ALLIANCE inaharibu mji wa KAHAMA serikali iingilie kati vijana wengi wanaharibiwa mwisho wa siku wanajikuta hawana msaada wowote
Nawasilisha
Global alliance wamepanga ktk jengo la NSSF umbali wa mita 100 kutoka yalipo makao makuu ya manispaa
Vijana wengi kutoka Wilaya zinazopakana na Kahama wenye umri kati ya miaka 16 hadi 29 wamekuwa wakitolewa maeneo mbali mbali na kupelekwa kahama kisha kupangishiwa chumba, chumba wanakaa wanne wanne, kisha kutozwa ada ya laki sita kila mmoja
Mwisho wa siku wanaacha baada ya kupigwa kilo 6 wanabaki mtaani wanalanda landa wengine wanaishia kupigwa mimba wengine wanageuka kuwa vibaka
Vijana wanaoletwa kwa wingi ni kutoka Tabora, Nzega, Kaliua, Masumbwe, Runzewe, Ushetu n.k wanaletwa kwa gia ya kushawishiwa kuwa matajiri
Ukikutana nao asubuhi utasema ni wanachuo au wafanyakazi, ukiwauliza wanafanya kazi gani wanakujibu ni wafanya biashara wa alliance
Hii ALLIANCE inaharibu mji wa KAHAMA serikali iingilie kati vijana wengi wanaharibiwa mwisho wa siku wanajikuta hawana msaada wowote
Nawasilisha