Girls born in 1990

Girls born in 1990

ndo umeamua urahisishe mambo kiasi hiki??
Nakuwa nayo ya nini? Si ya kuwasiliana na watu wangu wa karibu na wale wanaonijua? Sasa wewe usiyenijua naachaje kukuuliza umetoa wapi namba yangu? Kwanini huwa hamuwezi kujibu hilo swali?
 
Mwanaume anaeshindwa hata kujieleza namba katoa wapi wa kazi gani. Wacha tugonge tu 50. Hilo ni swali gumu lakini huwa mwanamke anatafuta assurance akijua ulipotoa namba atakua comfortable kwako pia sema wanaume hamjui na mnaona hilo swali ni gumu kweli kweli.
Hatuoni ni swali gumu, ni swali la kipuuzi. Mpaka nakupigia unadhani nimekosea namba? We jua tu kuna mahali nimeipata, and on later days ntakwambia niliipata wapi?

Namba yangu umepata wapi? Kwani namba yako unayo wewe mwenyewe tu?
 
Hivi kwanini hilo swali huwa linawakera sana wanaume?

Kwani ni vigumu sana mtu kujibu umepata wapi namba?
Swali la kijinga. We unadhani namba yako unayo peke yako tu?
 
Mpuuzi zaidi ni yule anaetaka kuwasiliana na mtu. Yani uchukie muda wangu tuwe tunachat unanipigia simu tuongee sio kazi sio biashara na hutaki kusema umepata wapi namba angu. Mimi huyu kwangu ni mpuuzi grade A. Na huwa sitoi hata dk moja yangu. Kama miaka inajongea na iende tu.
Sio kazi sio biashara wakati nakukaribisha dinner nikutongoze? Unataka biashara gani? Mimi nikishajitambulisha inatosha. Mambo ya namba yako nimepata wapi, we unadhani nitakuwa nimeipata wapi? Damn
 
Yani cha ajabu wanaume kila siku ndio mko busy kuleta uzi kuhusu uzee wetu wanawake, mara umri unaenda. Mbona sie wenyewe hatulalamiki kuhusu umri kwenda. Yani why taking panadol for someone else headache!!?
Tunatoa tahadhari. We jifariji tu.
 
Hivi kwanini hilo swali huwa linawakera sana wanaume?

Kwani ni vigumu sana mtu kujibu umepata wapi namba?
Wakati mwingine umeipata kwa njia za intelejensia. Houseboy kakupa namba, ukimtaja anaweza kupoteza kazi. Anyways, halijawahi kunishinda hili swali.
 
Weee mbona humu JF watu wanahangaika kuomba namba za simu PM? Kama wanaweza kuzipata muda wowote wanaotaka si wazipate sasa mbona wanaomba? Usumbufu tu

Au kama ni kweli siku hizi namba za simu ni rahisi kuzipata basi kuanzia leo wanaotuomba namba tutakuwa tunawaambia wazitafute wanakojua hadi wazipate halafu wakishazipata tukutane whatsapp
Kadri siku zinavyozidi kwenda mbele namba ya simu sio ishu tena.

Yaani mtu anaweza kupata namba yako ya simu muda wowote atakaoitaka.
 
Muulize kwani wote walioolewa ndiyo hawakuwa wakiuliza hayo mswali kabla hawajaolewa? Ujinga tu!
Mpuuzi zaidi ni yule anaetaka kuwasiliana na mtu. Yani uchukie muda wangu tuwe tunachat unanipigia simu tuongee sio kazi sio biashara na hutaki kusema umepata wapi namba angu. Mimi huyu kwangu ni mpuuzi grade A. Na huwa sitoi hata dk moja yangu. Kama miaka inajongea na iende tu.
 
Weee mbona humu JF watu wanahangaika kuomba namba za simu PM? Kama wanaweza kuzipata muda wowote wanaotaka si wazipate sasa mbona wanaomba? Usumbufu tu

Au kama ni kweli siku hizi namba za simu ni rahisi kuzipata basi kuanzia leo wanaotuomba namba tutakuwa tunawaambia wazitafute wanakojua hadi wazipate halafu wakishazipata tukutane whatsapp
 
Asante
Hivi kweli unaachaje kuliuliza furushi limepataje namba yako
Wengine kupata namba yako ni laana acha tu muulizwe. Namtaulizwa tu hata tukifika 50.
 
Tunaongelea girls born in 90s, damn it!! Yaani girls born in 90s wapo sokoni tayari kwa matumizi?

Basi soon vijana mtaanza na "girls born in 2000s". Kweli dunia inakimbia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom