Nitajuaje kuwa nia yako ni ya kweli?
Swali zuri sana,ukitaka kuupata ukweli nakuonyesha ukweli.
Ukiangalia kwanza kauli na kutoa nafasi ya kuthibotishiwa ukweli ulipo.
Bila kutoa nafasi huwezi kuuona au kuupata ukweli,ndio maana sisi huwa tunasema hivi "Safari moja huanzisha nyingine" japokuwa pia "Katika msafara wa mamba nao Kenge wamo"
