Ginimbi: Kutoka umachinga mpaka ubilionea

Very true coz kuna jamaa napiganae kaz wizara flani ivi akavuta Ist mpya wakat mishahara yetu imeandamwa na ma bank makato daily kumbe upande wapili ni criminal sasa anafaidi utamu wa gereza
 
Naona kama ni ''CHIBA" fulani hivi........Mara ya kwanza nilizani ni mapozi ya Kishamba kumbe Anaficha UCHIBA..............
20180124_090153.png
 
Kama utakuwa mfuatiliaji wa mitandao na habari za watu mashuhuri, bila shaka huwezi kuacha kulitaja jina la mfanyabiashara maarufu wa Zimbabwe anayejulikana kwa jina la Genius Kadugure al maarufu kama Ginimbi.
ginimbi6.jpg
Ginimbi ambaye amezaliwa October 10 mwaka 1984, ambapo mwaka huu anatimiza miaka 34, alianza biashara ya umachinga akitokea katika familia duni ya watoto wanne huku yeye akiwa ndiye mzaliwa wa kwanza.

Lakini ghafla hali yake ya kimaisha kwa ujumla ikianza kubadilika baada ya kukutana na mtaalum nguli Mtang’ata wa Mtang’ata mpakani Tunduma wakati akiwa katika biashara yake ya Umachinga.

Hapo ndipo safari yake ya mafaniko ilipoanza baada ya kukubali kulinda na kutii maelekezo na siri alizopatiwa kutoka kwenye ufalme wa majini kabla ya kupatiwa utajiri ambao hadi leo anaufaidi bila masharti ya kutoa mtu kafara.

Utajiri wa pesa za majini ukamuwezesha Ginimbi kumiliki kampuni kubwa ya kusambaza gesi ijulikanayo kama PIONEER GASES yenye matawi yake nchini Zimbabwe, Botswana na Afrika Kusini.

Pia ameweza kumfungulia mke wake anayeitwa Zodwa Mkandila kampuni kubwa inayojihusisha na masuala ya utalii inayoitwa TRAVERZE TRAVEL. Unaweza ukaona hiyo ni moja yasehemu ya utajiri wake.

Halikadhalika ana miliki majumba makubwa ya kifahari yaliyopo Afrika Kusini katika mji wa Johannesburg, Botswana, Harare Zimbabwe na magari ya kifahari kama vile Bentley Continental Gt, Rolls Royces Ghost na Rolls Royce Phantom, Range Rover Lumma na Range Rover Velar, Mercedes Benz G-Wagon n.k
ginimbi5.jpg
ginimbi3.jpg
ginimbi7.jpg
ginimbi4.jpg

ginimbi2.jpg
ginimbi8.jpg
ginimbi1.jpg
 

Similar Discussions

11 Reactions
Reply
Back
Top Bottom