BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,321
- 11,315
Aise acha tu !tajiri yeyote hasa kwa hapa TZ hakuna anayeweza kutoa siri ya utajiri wake
Utafikir wanalala nao kitanda kimoja
Aise acha tu !tajiri yeyote hasa kwa hapa TZ hakuna anayeweza kutoa siri ya utajiri wake
Hahahahah...Ngada...Ginimbi mshamba sana kama kabila fulan !!! Sitak kulitaj ntaitwa mchochez
Hapa ni poda, hayo mengine ni kwa ajili ya kuzuga walimwenguKweli hii ni Oryx na Mihani Gas Collection..,
Huna kitu, roho mbaya itakuua, endelea kupiga majungu jukwaani, angefanya puffy d, Ungesema eeh!Ginimbi mshamba sana kama kabila fulan !!! Sitak kulitaj ntaitwa mchochez
Tukiwashughulikia watu model hiyo nchini mnawateteaDaahh kweli ana bidii lakini poda lazma imehusika hapo!hiyo ni level ingine bana
Mr Bean, , , Kweli we wa kitamboMkuu we sio wa zamani. Chiba jamaa kafupisha alimaanisha sonchiba kama sijakosea katika miaka ya 80"-90" kulikuwa na mcheza filamu mmoja wa kihindi alikuwa mlemavu akiitwa sonchiba. Basi tokea hapo walemavu wakaanza kuitwa hivyo.
Mbona anawatembezea akina Vera Sidika!Hivi huko sehem zingine hakuna wapenda mteremko kama akina wema,tunda,nampa P, wolper,shishimbi lole nk?????maana huyo jamaa angekuwa huku kwa umri huo na mihela hiyo na huo mwili asingeoaa kabisa angekuwa anawatembezea tu
Ah hii komenti imenichekesha sana mkuuNilipata mfahamu jamaa mmoja alikuwa anauza mishkaki kwa waarabu, baada ya muda akawa na ukwasi wa kutosha.majumba,magari,na vitega uchumi sana tu.
kila mmoja alisema lake kuhusu utajiri wa jamaa, oparesheni ya ujangiri ikaja mkumba jamaa kumbe alikuwa anashirikiana na waarabu kuuza pembe za ndovu.
jamaa akakamatwa na mzigo na kuwataja wahusika,ikiwemo matajiri flani wa mjini hapa. tangu hapo mtu ukiniletea habari za fulani aliuza mchicha, mihogo, sijui kababu nakuoa bwege tu.
kuna michakato nyuma ya pazia kwenye haya mafanikio ya watu.
Aise acha tu !
Utafikir wanalala nao kitanda kimoja
PATO ngoja nisijikujibuMtabaki hivo hivo
Hahahaaaa yaaaan sa sijui tunasemaje badala ya ule msemo duniani wawiliwawiliWamefanana kwelii
Haya kila la heriPATO ngoja nisijikujibu
Msukuma au muhayaGinimbi mshamba sana kama kabila fulan !!! Sitak kulitaj ntaitwa mchochez
kwa nini mkuu?Ah hii komenti imenichekesha sana mkuu
Mpumbavu Hawez KukuelewaSiri za mafanikio za matajiri wanazijua masikini cha kushangaza wao hawafanikiwi!! Funny.
Mambo siyo rahisi hivyo.