Hamia Halotel mbona simpo tu
 
haya mambo haya sijui itakuwaje uko mbele Kama Leo ndo Hiv na siku zote mafuta yakishapanda na gharama za maisha lazima zipande
 
Monthly subscription of $99 and $499 for the Starlink kit (start kit)...

Mzee baba bado watumiaji hapo watakuwa ni maofisi, na watu binafsi wenye mpunga mrefu
mkuu tena hili dili mie naliwahi mapema, ujue router zao zina support hadi devices 128 full speed...
sasa kwa mtaani hapo, we weka star link 1 tu, unaweza hudumia takribani watu 100...wachangishe 5000 unlimited week au 1000 kwa siku, unlimited, kwa mwezi una almost 3 million..
unalipia kifurushi na bado unafaidika na unlimited yako... hii ni fursa pia, ila najua tcra watazingua lakini haina namna ni kuwa mbishi tu...
 
Mnataka hela ya kampeni tutoe wapi ilihali mnaona upinzani wa ndani ushaanza kuwa mkubwa...ngoja tukusanye pesa kwanza bei zitashuka hali ikitulia...
 
La boda umelisema bila kuliwekea wino mweusi.

Bila ya Mchina hizi fujo za boda boda kujimwambafy barabarani zingelikuwa ni ndoto isiyooteka.

Bei ya piki piki ya mjapani ni bei ya IST.

Na bei ya pikipiki BMW ni bei ya Land cruiser nani angelithubutu!

Labda Taxfy na Uber ndo wangelitamba kitaa.
 
Utashangaa wakazuia starlink isioperate Tanzania. Mana wao kazi yao n kuhakikisha wanaweka kikwazo kila penye uwezekano.
 
Watafanya kama walivoifanyia PayPal
 
Walivo wapuuz watakwambia mpaka uwe na lesen
 
Utashangaa wakazuia starlink isioperate Tanzania. Mana wao kazi yao n kuhakikisha wanaweka kikwazo kila penye uwezekano.
inauma sana asee, ni kweli mkuu, Musk atakuja kuharibu business za watu, ikiwa hivyo ni bora wazime tu internet ijulikane tunaishi kama north korea...
 
Karibu ttcl kwa 1000 unapata GB 1.2 mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…