Ferruccio Lamborghini
JF-Expert Member
- Apr 15, 2020
- 1,664
- 2,517
Hamia Halotel mbona simpo tuHili suala kwakweli limekuwa baya sana. Kadri siku zinavyosonga, maisha ya watu yanazidi kutegemea mtandao. Na kwa kawaida teknolojia inavyozidi kukua ndivyo bei inapozidi kushuka. Sasa inakuwaje hawa jamaa wanaongeza bei kwa asilimia 100.
Kwa Tsh 1000 nilikuwa napata GB 1 ya tigo. Sasa napata MB 500. Wanaongeza gharama mara mbili? Hili suala ni counterproductive kwa uchumi. Serikali imefika mwisho wa kufikiri na imeona njia pekee ya kupata pesa ni kodi! Haya, hizi zikifika sehemu hazitoshi mtaongeza kwenye nini tena? Maana haichukui muda hizi tozo zinakuwa hazitoshi. Mtapata wapi zingine na mmekwamisha watu biashara, mnajua ukubwa wa biashara zinazofanyika mitandaoni?
Hata wakoloni hawakuwa kama nyinyi, mnakamua bila kulisha.
mkuu tena hili dili mie naliwahi mapema, ujue router zao zina support hadi devices 128 full speed...Monthly subscription of $99 and $499 for the Starlink kit (start kit)...
Mzee baba bado watumiaji hapo watakuwa ni maofisi, na watu binafsi wenye mpunga mrefu
Toto linasomeshwa shule ya gharama alafu linakuwa halina akili kama baba yake pumbavu kabisaa huku watanzania wengi tumeumia.View attachment 1964689Huyu ndio mchumi anayemshauri Chief Hangaya
La boda umelisema bila kuliwekea wino mweusi.Kwa sababu tunatumia bidhaa walizotengeneza wao kwa wingi zaidi...
miundo mbinu kwenye uchukuzi na mawasiliano ndio usiseme, hapo kariakoo tafuta duka halina bidhaa za China nakupa 10000...
Mchina hakwepeki sasa, tuanzeni kujifunza ki China ..., boda boda hizi ndio usiongee kabisa... tv sasa ndio utakimbia kabisa...
pasipo yeye wa Tanzania wangapi mlikuwa na pesa ya ku affor iphone 13 ambayo na yenyewe pia imepita mikononi mwao, vianda 98% vya electronics USA uzalishaji ni China... naweza ongea hapa mpaka kesho...
China ni mkombozi hilo tusibishe...
Sio katiba tu hii nchi inahitaji kufumuliwa upya kama Syria,haya matabaka yametuchoshaTupiganie katiba mpya la sivyo tutateswa sana na ccm.
Utashangaa wakazuia starlink isioperate Tanzania. Mana wao kazi yao n kuhakikisha wanaweka kikwazo kila penye uwezekano.Mkuu usiwe na shaka, hizi kampuni zitapigwa doro mpaka watakua wanapita barabarani na kutangaza gb 100 kwa elfu 2 mwezi mzima, starlink ya Elon Musk tayari imefika Nigeria sisi huku ni next year hapo mambo yanajipa speed wanasema ni 150Mbps ikishuka ni 50Mbps.
Ushenzi wanaoufanya wanafikiri dunia inawasubiri, watu wanakwenda mwezini sisi bado tunapambania bundle.
$99 mwezi mzima unlimited ni very cheap tusisahau pia mchina mkombozi wetu atakuwa hayupo nyuma kuja na suluhisho la upatikanaji rahisi na nafuu wa mtandao.
Watafanya kama walivoifanyia PayPalna mie nina wasi wasi huo lakini, mitandao yetu ni kama demand ya mtandao imekuwa kubwa mnooo, yaani huduma za unlimited sasa hakuna kabisa, hata wale wazee wa usiku unlimited wamepotea.
Lakini kama satellite zingine zinafanya kazi Africa wakizuia itakuwa sio fair, mpaka sasa kuna kampuni za satellite internet zinaoperate kama kawaida, hii ikija mimi nitanunua , uzuri mnaweza share na watu wakakusaidia kulipia fee/month...
Walivo wapuuz watakwambia mpaka uwe na lesenmkuu tena hili dili mie naliwahi mapema, ujue router zao zina support hadi devices 128 full speed...
sasa kwa mtaani hapo, we weka star link 1 tu, unaweza hudumia takribani watu 100...wachangishe 5000 unlimited week au 1000 kwa siku, unlimited, kwa mwezi una almost 3 million..
unalipia kifurushi na bado unafaidika na unlimited yako... hii ni fursa pia, ila najua trca watazingua lakini haina namna ni kuwa mbishi tu...
inauma sana asee, ni kweli mkuu, Musk atakuja kuharibu business za watu, ikiwa hivyo ni bora wazime tu internet ijulikane tunaishi kama north korea...Utashangaa wakazuia starlink isioperate Tanzania. Mana wao kazi yao n kuhakikisha wanaweka kikwazo kila penye uwezekano.
lazima itakuwa hivyo...Walivo wapuuz watakwambia mpaka uwe na lesen
duh! paypal na yenyewe ilikuwa inaharibu business za watu, yaani ukiona wanapinga vitu ujue wanakosa ulajiWatafanya kama walivoifanyia PayPal
tunadanganywa na nini mkuu?Mnadanganywa kirahisi sana.
Karibu ttcl kwa 1000 unapata GB 1.2 mkuu.Hili suala kwakweli limekuwa baya sana. Kadri siku zinavyosonga, maisha ya watu yanazidi kutegemea mtandao. Na kwa kawaida teknolojia inavyozidi kukua ndivyo bei inapozidi kushuka. Sasa inakuwaje hawa jamaa wanaongeza bei kwa asilimia 100.
Kwa Tsh 1000 nilikuwa napata GB 1 ya tigo. Sasa napata MB 500. Wanaongeza gharama mara mbili? Hili suala ni counterproductive kwa uchumi. Serikali imefika mwisho wa kufikiri na imeona njia pekee ya kupata pesa ni kodi! Haya, hizi zikifika sehemu hazitoshi mtaongeza kwenye nini tena? Maana haichukui muda hizi tozo zinakuwa hazitoshi. Mtapata wapi zingine na mmekwamisha watu biashara, mnajua ukubwa wa biashara zinazofanyika mitandaoni?
Hata wakoloni hawakuwa kama nyinyi, mnakamua bila kulisha.