Kana-Ka-Nsungu
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,257
- 353
Mazee safari ijayo zama La Paloma guest house pande za Sinza.
kidate lazima? Kama una wako permanent gharama si zinapungua?
ukitaka uzuri lazima udhurike....me naona ni vema kwenda hotelini kabisa, kwani quest ni low quality
Hii nimeona niilete hapa jamvini tuijadili manake nimegundua kuwa kama una kidate na dame decent, mkikaa sehemu- mkala na kunywa then mkaingia chimbo kumalizia na mchezo, gharama yake ni at least laki moja! Meaning kama unaendekeza huu mchezo, ukipiga mara 10 tu milioni imekatika! Chimbo nililochukua mimi lilikua elfu 60, kula na kunywa 40 ikakatika. Tutajenga kweli? Kuna watu wanapiga hii michezo almost daily, how do they afford? Ni machimbo gani yako decent ( kwangu AC ni lazima!) hapo dar na yanapatikana kwa bei poa?
Nikawa namuelezezea mhadhiri mmoja wa kule chuo kikuu hii issue, akacheka sana akasema ni kawaida sana, kuna group la wakware fulani hapo mjini alisema anawafahamu, ni watu wenye familia zao lakini wamekuja na strategy ya kupunguza gharama kwa kupanga flat ambayo ni full furnished na wanalipa laki 2 kwa mwezi kwa ajili tu ya kuchinjia tu na hiyo rent wanachanga. Is this the way forward?
KKN
Laki tu!!!!!!!!!!!!! Thats so Affordable!!!!!!!!! Sehemu ya 60!? It gives me goosebumps!!! 40 for drinking thats so affordable also! What was she drinking?
Kuhusu kuchukua ghetto la haya mambo usijaribu, Mwanamke akiona hilo getto kama hatoamia kinguvu basi lazima abebe Mimba ya kujinasisha. Dawa hiyohiyo hakuna makazi ya kudumu!!!!!!!!!!
Machimbo cheap yapo ila yanataka moyo coz kuna watu wazima sanaa hususani wafanyabiashara na wasafiri au wauzuriaji harusi. So huishi kupishana na wamaza na midingi koridoni.
Kwani wee hufanyi? heri mi ninaeweka waziIs it necessary mkuu kutangaza wazi kuwa wewe ni fuska??
KILIMO KWANZA
Lara nimekukubali kubwa la maadui! Unajua hiyo laki nisingeimind sana kama ningekua napiga mzigo usiku mzima, ngoma yenyewe baada ya goli moja tu ilikua inabidi iondoke na kama unavojua viwanja vya wakubwa hakuna kiingilio cha short time!! Na mpango wa kupanga, si namuambia demu tu kua ni gheto la mshkaji na sio langu? Mageto cheap hayana viyoyozi bana, mi siendagi huko, lazima mazingira yawe ya freezing temperature kwangu!
Laki tu!!!!!!!!!!!!! Thats so Affordable!!!!!!!!! Sehemu ya 60!? It gives me goosebumps!!! 40 for drinking thats so affordable also! What was she drinking?
.
Hahahaaaaaaaa! Kipendacho roho hula nyama mbichi!!! LOL! Im curious! Why do you need FREEZING TEMP!!!!? Iguess THINGS GET SO HOT IN THERE!!!!!!!!!! LOL!
Nimefurahi kukuskia tena mkubwa Idimi, long time man, hope uko powa. Nashukuru kwa msamiati mpya hapo juu, nimeupenda!