Kana-Ka-Nsungu
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 2,257
- 353
- Thread starter
- #21
Hebu wee Preta na Lara niambieni nyie magoli ya short time huwa mashefa wanaspend bei gani? Mi viwanja vyangu mitaa ya sinza nimemaliza, huko kwa mafisadi na watalii sipawezi bana na hiyo kilo naiskilizia maumivu hadi leo hii.mi mwenyewe nimeshangaa.....atakuwa alikuwa anakunywa alvaro.....?