kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 12,313
- 12,613
Kuwa na reli ya kisasa inayokwenda kasi ni jambo la kiunchumi na kijamii/huduma. Lakini kutokana na hali yetu ya kiuchumi kuwa sio nzuri linafaa liwe la kiuchumi zaidi kuliko kihuduma. Yaani reli ya SGR lazima ituongezee mapato kuliko tutoa huduma, maana tanzania hatujaifikia luxury hiyo.
MaSwali ninalowauliza wachumi wetu juu ya mradi huu mkubwa ni:
1. Je, reli ya SGR itaanza inakadiriwa kuanza kutupatia faida baada ya muda gani punde itakapoanza kazi? yaani baada ya kuondoa/kurejesha gharama za ujenzi wake?
2. Je, mipango ya kuwaelimisha mwenye Malori na mabasi yaliyokuwa yanabeba mizigo na abiria kupitia njia hiyo ikoje?
3. Serikali tutakosa kodi kiasi gani kutoka kwenye mabasi na malori yatakayokosa abiria na mizigo kutokana na uwepo wa reli ya SGR?
MaSwali ninalowauliza wachumi wetu juu ya mradi huu mkubwa ni:
1. Je, reli ya SGR itaanza inakadiriwa kuanza kutupatia faida baada ya muda gani punde itakapoanza kazi? yaani baada ya kuondoa/kurejesha gharama za ujenzi wake?
2. Je, mipango ya kuwaelimisha mwenye Malori na mabasi yaliyokuwa yanabeba mizigo na abiria kupitia njia hiyo ikoje?
3. Serikali tutakosa kodi kiasi gani kutoka kwenye mabasi na malori yatakayokosa abiria na mizigo kutokana na uwepo wa reli ya SGR?