wakikosi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2015
- 1,354
- 1,483
Usafirishaji wa mizigo, abiria pamoja na utoaji wa huduma kwenye reli ya TAZARA ni kama umekufa au upo kwa kiwango cha chini sana.
Lengo la Mwl Nyerere kujenga reli ya TAZARA ilikuwa kurahisisha utoaji wa huduma za Usafiri wa binadamu na mizigo baina ya Tanzania na nchi ya Zambia lakini hadi mwaka huu wa 2023 huduma hiyo ipo taabani.
Mizigo ndio kama haisafirishwi kabisa kwenye reli hiyo na sasa malori ya wafanyabiashara ndiyo husafirisha mizigo kwenda Zambia.
Hii inanipa wasiwasi mkubwa hata hii treni SGR inayojengwa baina ya Dar-Moro,kisha Dodoma-Tabora hadi mwanza na kigoma haitakuwa na mwisho mzuri maana serikali yetu inaendeshwa na wafanyabiashara wakubwa ndio hao wa malori ya mizigo,hawapo tayari kuona reli inafanyakazi na malori yao pamoja na mabasi yao ya kusafirisha abiria yakikosa kazi.
Wabongo watafanya lolote ile reli hiyo ya standard gauge kukosa ufanisi na hatimae itakufa kama reli ya TAZARA.
KAMA NCHI NI KAMA TUNALAANA FULANI HIVI TUSIPATE MAENDELEO.
Ukiwa unafikiria vizuri kuwa mtanzania ni maumivu sana
Lengo la Mwl Nyerere kujenga reli ya TAZARA ilikuwa kurahisisha utoaji wa huduma za Usafiri wa binadamu na mizigo baina ya Tanzania na nchi ya Zambia lakini hadi mwaka huu wa 2023 huduma hiyo ipo taabani.
Mizigo ndio kama haisafirishwi kabisa kwenye reli hiyo na sasa malori ya wafanyabiashara ndiyo husafirisha mizigo kwenda Zambia.
Hii inanipa wasiwasi mkubwa hata hii treni SGR inayojengwa baina ya Dar-Moro,kisha Dodoma-Tabora hadi mwanza na kigoma haitakuwa na mwisho mzuri maana serikali yetu inaendeshwa na wafanyabiashara wakubwa ndio hao wa malori ya mizigo,hawapo tayari kuona reli inafanyakazi na malori yao pamoja na mabasi yao ya kusafirisha abiria yakikosa kazi.
Wabongo watafanya lolote ile reli hiyo ya standard gauge kukosa ufanisi na hatimae itakufa kama reli ya TAZARA.
KAMA NCHI NI KAMA TUNALAANA FULANI HIVI TUSIPATE MAENDELEO.
Ukiwa unafikiria vizuri kuwa mtanzania ni maumivu sana