Bongotunacheza
JF-Expert Member
- Dec 7, 2018
- 734
- 1,689
Habari zenu wana Jf,
Nina safari ya kwenda Masasi kesho insha'allah then nitaenda Newala kisha Mtwara mjini.
Naomba kuulizia anayefahamu gesti za bei nafuu kwa Newala na Masasi bajeti ya sh elfu kumi hadi kumi na 5.
Asanteni sana ndugu zanguni
Nina safari ya kwenda Masasi kesho insha'allah then nitaenda Newala kisha Mtwara mjini.
Naomba kuulizia anayefahamu gesti za bei nafuu kwa Newala na Masasi bajeti ya sh elfu kumi hadi kumi na 5.
Asanteni sana ndugu zanguni